Oyaaa watakuchekavwatu.....bacca na nondo ni mizigoThubutuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Manulaa kaokoa saves 3 za Ziyech pekee.
Bila hivyo ni hatariii, bacca na mwamnyetoo ni mizigooo.
Magoli yote umeyaona lakini...Kipa gani wa kupangulia ndani kila mara?
Mpira unapigwa kwny angle badala apunch mpira nje yeye ana punch ndani na ndio sababu ya goli la kwanza
Kifupi ni kuwa hatuna timu wala kocha
Mkuu yaani hata kama kila mchezaji akapewa milioni20 kila mechi kipgo kipo lale pale kila kitu hii nchi ni siasa. Muda ni mwalimu mzuri kila mtu kajionea vijana Walivyo mdebwedo kama darasani ni lile toto linalokaa nyuma halafu halielewiπ€£π€£π€£Majizi yamekwapua kodi za wananchi yameenda kuzipoteza yanatudanganya harambee yamekusanya bilion 3.7
Amefanya makosa yepi ya wazi.Hii iwe ni mechi ya mwisho ya Manula kudakia Stars, sisi wengine tulishazoea kuwa na kipa bora golini haya maumivu ya makosa ya kipa hatujayazoea.
HaiumiiiiiHaijauma
[emoji419][emoji817]Hamna bwana hatuna quality tuu. Kwanza kwa nadharia ya mpira losing a player doesnt effect a team defensively, it impacts a team offensively since they have one less passing option.
Wee areigo sacchi alipanga defense yake ya watu wanne dhidi ya wachezaji 10 na hawakufunga and mind u this was the great milan side of 1989
aka DUA ZENU ππVIBONDE STARS
Goli 3 haziumiHaiumiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo si wameonesha hapa uwezo wao halisii.Oyaaa watakuchekavwatu.....bacca na nondo ni mizigo
[emoji23][emoji23][emoji125]Wangedai mama sijui kafanya nini siasa mbaya
Ccm ndio wanaongoza kwa rafu, subiri uchaguzi uone. Halafu hiyo timu ni ccm tupu ndiomaana ikifungwa tunafurahihao wachezaji wanaocheza rafu watakuwa chadema hao.
Juhudi, ila wamekuwa discouraged sana na refaSpirit wataitoa wapi wakati kocha alishawatuhumu kuwa hawajitumi
Yaani nimeshangaa sana Simba wamewezaje kuvumilia, ukiwaambia wanaona unaleta utimu πHii iwe ni mechi ya mwisho ya Manula kudakia Stars, sisi wengine tulishazoea kuwa na kipa bora golini haya maumivu ya makosa ya kipa hatujayazoea.