Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutu tuarabu tudogotudogo lakini tunaakili nyingi sana miguuni.Kuna dalili za kadi nyekundu kwenye hili game.
Taifa Stars waache kucheza kama wapo kwenye Ndondo Cup.
Mzungu ametokaaaaa tunafungwa mengine mawili nikopalee kwa massaweee wakalaWalikuwa Vizuri mwanzoni naona sasa hivi baada ya kufungwa kama wamepungua kasi..
Kama unaangalia Mpira lakin
We tangu 2019 hajafunga goli bado wanambebaSamagoal mwenyewe ni mzigo tyuuh, anacheza kifaza sana khaaah
Anaboaa tyuuh.
Hakuna sehemu bwana waliocheza vizuri. Ni wanapuyanga pira mbayuwayuWalikuwa Vizuri mwanzoni naona sasa hivi baada ya kufungwa kama wamepungua kasi..
Kama unaangalia Mpira lakin
Jecha amefarikiKwenye jecha,mahela, hawapo uwanjani!!
Morocco ina wachezaji wengi wenye experience kuanzia Ziyech, Amrabat, Hakimi, Zoroury, ni baadhi tu wote wacheza barani Ulaya.Hawana malengo, wanacheza kwa woga sana sijui tatizo nini
BenderaKwani kajifutia jasho na bendera au kitambaa chenye rangi za bendera ?
Kwa nani?Na red card inanukia
Katolewa.Hutu tuarabu tudogotudogo lakini tunaakili nyingi sana miguuni.
Hasa yule jamaa kulia mwa uwanja mwenye Yellow angetolewa mapema.