FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
TANESCO Shwaini kabisa. Yamekata umeme 🚮🚮🚮

vijanawahovyo_p_CWSLNPxKlDX_1.jpg
 
Kumbukumbu: November 21 mwaka 2023 Taifa Stars ikicheza na hawa hawa Morocco kuwania nafasi ya kucheza World Cup 2026, Novatus Dismas Miroshi alikula umeme dakika ya 65 na tulifungwa 2-0 pale kwa Mkapa
Jamaa ana shida gani?!
 
Hah
Bado Himid Mao nae atakulaa nyekundu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo
Haha huyo mm nilimuweka kapu moja la anytime red card na mwenzake novatus 😂😂. Hela tu sina ningebet hata laki 5
 
Back
Top Bottom