Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Samata ni tatizo.
Samatta ni tatizo na ndio maana waingereza hawakutaka kupoteza nae muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samata ni tatizo.
Basi unatuchanganyaHapana.
Zamani ipi kaka?Ndiyo mara ya kwanza kukutana na hii ID. Zamani ulikuwa unatumia ID gani mpendwa?
Ooyaa fuatilia mpiraNdiyo mara ya kwanza kukutana na hii ID. Zamani ulikuwa unatumia ID gani mpendwa?
Mwenzio anaumia ukimwita kakaZamani ipi kaka?
Umakini kule mbele ni tatizo sana
Mentality ya wachezaji naona ni kama kulinda zaidi... Si approach nzuri sana hasa ukiwa unacheza na watu pungufuStars haina timu. Watu wapo 10 lakini wanacheza kama wapo kamili..
Ungemwambie afiche ujingaMambo ya simba yanakujaje? Ficha unazi
Vipi ambae alivunjiwa mkataba na sasa hana team kabisa, huoni kama amekuwa msaada kwenye hii mechi?Samatta ni tatizo na ndio maana waingereza hawakutaka kupoteza nae muda