Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali tufungwe tuu kuliko kushinda halafu tupigiwe kelele za mama samia anaupiga mwingi
Eti ooh tuna timu 🤣🤣🤣🤣Wamebanaaa wameachiia 😀😀
😁🤣Maskini alipata matako hulia Mbwaga
Bao Moja wakaona maisha wameyapatiiia
Tukisema Kuna kikunfi Cha Singeli tunaambiwa haters...
Timu inapelekwa puta na timu iliyo pungufu.
Sina uwezo wa kutoa ban mkuu
La msingi ni tuiombee Taifa Stars washinde leo
Walikuwa wamejipangaKama nawaona akina Nape, Mwana FA, Gerson Msigwa na wengineo wanavyofuta meseji za kumpongeza mama kwa ushindi
Depal lete mabarafuEti ooh tuna timu 🤣🤣🤣🤣
Akiyanani
Mechi imeisha Kwa kishindo cha furaha kama awamu ya sita.
UchawaTanzania ifike mahali tukubali mpira hatuwezi, bora tufanye mambo mengine (sijui hata ni mambo gani hayo mengine) maana sisi hatuwezag kila kitu!
Sasa si tunashangilia namna mmekosa hizo point3?Sasa mtu unashangiliaje draw na Zambia wakati ukiangalia kwenye kundi letu, ni hao tu ndio tulikuwa tunategemea watuachie point tatu, anyway basi tena Tanzania tuachane na mpira tujikite kwenye singeli tu