Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Back pass leo zimetuponza, badala ya kupandisha mashambizi mbele tukawa tunajilinda kwa kurudisha mipira nyuma.Acha tuu wala usingizi ulikua hauji nachungulia chungulia insta naona wamerudisha dkk 88....huu ni upuuzi....
Unaamua mwenyewe kukosa raha mkuu. Timu zipo 24, zinaupiga tu mwingi, kwa nini timu moja ikunyime raha?Team yetu inatunyima raha.
Kweli hadhi yetu sisi uchawa!Uchawa
Timu ipo .mbona leo moroko katoa draw na Congo. Kwenye mpira kawaida sana mkuuHakuna timu, tusipeane faraja, hatuna timu ya kushindana...
YAANI HII SIKU NITAKIMBIA NIRUDI BURUNDI SITAKI HII AIBU INIKUTIE HAPAHaina shida mechi na Congo tunatoboa.hakuna kukata tamaa
Najua umeitaja Ihefu kimkakati.Sijui why huwa anazembea ifikie mahali timu ivunjwe wacheze wachezaji wa klabu za ihefu...mtibwa...na wengineo hawa Simba na Yanga na wa huko nje wasicheze...
Tunashinda nakuhakikishia Congo tunawachapa .kikosi kipo vizuri sana.Kheeee!! Hamchoki? [emoji1787][emoji1787]
HAKUNA TIMU YA KUSHINDANA NA CONGO KWA KIKOSI HICHI.Timu ipo .mbona leo moroko katoa draw na Congo. Kwenye mpira kawaida sana mkuu
Upo my braza.... π π πNajua umeitaja Ihefu kimkakati.
Muone! πππ
Kuna mpr wanaocheza team zngne hlf ss kuna Mpr tunaocheza sisi Tz.. Ww mkuu unaona ivo ni vitu sawa?Timu ipo .mbona leo moroko katoa draw na Congo. Kwenye mpira kawaida sana mkuu
Kwenye mpira wa miguu Tz sina uzalendo πWewe hauna uzalendo?
Hawataamini mechi ya mwisho
Timu yote inapiga back pass umeona mzamiru tuu?Mzamiru ni mchezaji wa ovyo tangu mpira unaanza hadi unaisha anapiga back passes tu
Ng'ombe wa masikini azai na akizaa anazaa tasaYAANI WATU WAPO PUNGUFU NA HAKUNA MNAFANYA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] SI MFUNGUE LIVE BAND TU[emoji1787][emoji1787][emoji1787]