Wasitunyime. Ujirani mwema. Watuachie hata goli mbili kundi liwe zuri.Zambia my dear neighbors msitangushe
We jamaa siyo Mzalendo kabisa! Haiwezekani Zambia afunge mengi kiasi hichoFull time Zambia 4-0 tanzania
Hii hii ya matumaini mkuuKwa timu ipi mzee baba
[emoji16][emoji16] ntakusemeleaZambia my dear neighbors msitangushe
DRC angefungwa ingekuwa bora zaidi ila hata hiyo sare ni nzuri
poleni sana wacha wengine tutazame kitambi cha mwijaku na Baba levoWamekata umeme hawa pweza
Sawa.......Naona Kama Tanzania anashinda hii
Leo mtashinda Leo 🤣KKumbe walipeleka washangiliaji...safi sana
Kila la heri Taifa Stars..leo hamtatoka kinyonge....
Hakikaaa....Leo mtashinda Leo 🤣
Hii hii ya Taifa starsKwa timu ipi mzee baba
Vaa miwani kaka Chaz 🤣Naona Kama Tanzania anashinda hii