Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kila la heri kwetu Taifa.Tutashinda Inshallah!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la heri kwetu Taifa.Tutashinda Inshallah!!
Matokeo ya mechi ya Morocco vs DRC ni mazuri sana kwa Tanzania. Leo TZ inatakiwa ishinde, tutajua DRC tunamkabili vipi, sare na DRC inatuvusha.
Barafu unazo dada yanguNauza maji na juice kwenu wazalendo wa nchi.
Makonda FC 0 - Zambia 3
😁🤣🤣Hayo siyo matokeo mazuri kwetu bora DRC angefungwa
Hii mechi ingebid ichezww saa5 usiku ili aibu itukute tumeshalala
Wakati mwingine chuki hazalisha upumbavu,na upumbavu ukikomaa huzaa utaahira.Makonda FC 0 - Zambia 3
Muhimo hizo, sasa mkizimia nawaagua na nn zikikosekana?Barafu unazo dada yangu
DRC angefungwa ingekuwa bora zaidi ila hata hiyo sare ni nzuriHayo siyo matokeo mazuri kwetu bora DRC angefungwa
Naunga mkono hoja dada yanguMuhimo hizo, sasa mkizimia nawaagua na nn zikikosekana?
Labda ishinde njaa sio magoliTutashinda Inshallah!!
Kwa timu ipi mzee babaLeo tuwakande hawa.