granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Total goals full time itakuwa over 2.5, nani atashinda, sijuiFull time Zambia 4-0 tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Total goals full time itakuwa over 2.5, nani atashinda, sijuiFull time Zambia 4-0 tanzania
Lakini tunaweza kuwashangaza sana nyie Wazambia.Mwsh wa porojo za vijiweni na hamasa za ovyo ovyo unaweza kua leo.
Tumewekeza sana sana kwny uzima moto kuliko mipango sahihi.. Haya mambo hata Mungu hapendi.
Litakalo tukuta leo ni haki yetu.. Hakuna mambo ya dua za njiwa hapa tuoneshe uwezo.
Oyaa😂😂Mahaba yamekuzidi mkuu, Starz anatoka bila goli hata 1 ktk haya mashindano.
[emoji23][emoji23][emoji23]Lakini tunaweza kuwashangaza sana nyie Wazambia.
Wewe itakuwa sio mtz, ingekuwa wewe ni mtz wala usingepata tabu ya kujiuliza hilo swali maana kila mtz anajua kwaninihivi kwa nn WATANZANIA wanaichukia sana serikali na kila inachojihusisha nacho???
😁😁😁😁mmerudi na Mahondaw
Boss, Tatizo lipo wapi? Si kukikucha utaikuta?Mimi nimeshauri ni bora mods wawe wanaanzisha threads wao. Mechi saa 2 usiku kesho, mtu anaanzisha thread leo saa 6 usiku.
Natamani mno tushindeMwsh wa porojo za vijiweni na hamasa za ovyo ovyo unaweza kua leo.
Tumewekeza sana sana kwny uzima moto kuliko mipango sahihi.. Haya mambo hata Mungu hapendi.
Litakalo tukuta leo ni haki yetu.. Hakuna mambo ya dua za njiwa hapa tuoneshe uwezo.
Baya lisilokudhuru ni jema lisilo na faida - Fid QMimi nimeshauri ni bora mods wawe wanaanzisha threads wao. Mechi saa 2 usiku kesho, mtu anaanzisha thread leo saa 6 usiku.