FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Mwsh wa porojo za vijiweni na hamasa za ovyo ovyo unaweza kua leo.

Tumewekeza sana sana kwny uzima moto kuliko mipango sahihi.. Haya mambo hata Mungu hapendi.

Litakalo tukuta leo ni haki yetu.. Hakuna mambo ya dua za njiwa hapa tuoneshe uwezo.
 
Mwsh wa porojo za vijiweni na hamasa za ovyo ovyo unaweza kua leo.

Tumewekeza sana sana kwny uzima moto kuliko mipango sahihi.. Haya mambo hata Mungu hapendi.

Litakalo tukuta leo ni haki yetu.. Hakuna mambo ya dua za njiwa hapa tuoneshe uwezo.
Lakini tunaweza kuwashangaza sana nyie Wazambia.
 
hivi kwa nn WATANZANIA wanaichukia sana serikali na kila inachojihusisha nacho???
Wewe itakuwa sio mtz, ingekuwa wewe ni mtz wala usingepata tabu ya kujiuliza hilo swali maana kila mtz anajua kwanini
 
Mimi nimeshauri ni bora mods wawe wanaanzisha threads wao. Mechi saa 2 usiku kesho, mtu anaanzisha thread leo saa 6 usiku.
Boss, Tatizo lipo wapi? Si kukikucha utaikuta?
 
Mwsh wa porojo za vijiweni na hamasa za ovyo ovyo unaweza kua leo.

Tumewekeza sana sana kwny uzima moto kuliko mipango sahihi.. Haya mambo hata Mungu hapendi.

Litakalo tukuta leo ni haki yetu.. Hakuna mambo ya dua za njiwa hapa tuoneshe uwezo.
Natamani mno tushinde
 
Hawa Congo tutawaweza kweli tukikutana?
 
IMG_9514.jpeg
 
Back
Top Bottom