FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Hivi hizi threads za michezo kuanzisha usiku wa manane ndio nini?

Nimemiss kipindi threads zinaanzishwa karibia na muda wa mechi, homa iko juu tunachangia kwa mihemuko & mchecheto.

Hizi za mapema hadi kufika muda wa mechi tumeshachoka!
Tunafanya pre-game analysis 🤣🤣🤣.
Watu wa mikeka tunachora mapema sana.
 
Kwa jinsi nilivyowaona Zambia wakicheza,sidhani kama Tz atamfunga Zambia.

Na bado mziki wa Congo.

Tz inaweza kutoka patupu,,yaani Goli 0.

Jiandaeni kwa vipigo na maumivu.

Golini yupo pazia Manula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo sio goalkeeper, shida ni wachezaji wa ndani,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo sio goalkeeper, shida ni wachezaji wa ndani,
Na golikipa naye ni pazia vilevile
Mabeki vilaza
Ma forward ndio vilaza wa kutupwa,akina Samantha sijui..heri wangechukuliwa hata maforward wa ihefu kuliko kikosi watu wanagawana namba kwa kuangalia majina.
Golikipa wa Simba Salim ni mzuri kuliko Manula ..ila kwa sababu wamepeana nafasi kindugu acha wavune walichopanda.

Na golikipa wa Zambia anavyodaka,
Tanzania ni miongoni mwa timu itakayotoka kwenye mashindano haya na magoli sifuri.
 
Na golikipa naye ni pazia vilevile
Mabeki vilaza
Ma forward ndio vilaza wa kutupwa,akina Samantha sijui..heri wangechukuliwa hata maforward wa ihefu kuliko kikosi watu wanagawana namba kwa kuangalia majina.
Golikipa wa Simba Salim ni mzuri kuliko Manula ..ila kwa sababu wamepeana nafasi kindugu acha wavune walichopanda.

Na golikipa wa Zambia anavyodaka,
Tanzania ni miongoni mwa timu itakayotoka kwenye mashindano haya na magoli sifuri.
Kazi Ipo kwa kweli.
 
Hili kundi kila timu inaona pakuokotea pointi ni Tanzania
 
Naamini Leo tutakaza Sana lakini lolote Baya litukute
Zambia 2 CCM stars 0
 
Hivi hizi threads za michezo kuanzisha usiku wa manane ndio nini?

Nimemiss kipindi threads zinaanzishwa karibia na muda wa mechi, homa iko juu tunachangia kwa mihemuko & mchecheto.

Hizi za mapema hadi kufika muda wa mechi tumeshachoka!
Mimi nimeshauri ni bora mods wawe wanaanzisha threads wao. Mechi saa 2 usiku kesho, mtu anaanzisha thread leo saa 6 usiku.
 
Timu ya Tanzania ni kama kama kila mtu kwenye group lake anajua atajipigia..hata hivyo kati ya Zambia na Congo mmoja atatufunga mwingine tutatokanae droo.
Mahaba yamekuzidi mkuu, Starz anatoka bila goli hata 1 ktk haya mashindano.
 
hivi kwa nn WATANZANIA wanaichukia sana serikali na kila inachojihusisha nacho???
 
Back
Top Bottom