FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

uvccm jiandaeni kisaikolojia, msije baada ya mechi mkaja hapa kulia-kulia na kutafuta mchawi.

hii game zambia 'itaibandua' tanzania goli 3 au zaidi.
 
Mwana kulitafuta mwana kulipata, leo tena kichwa cha mwendawazimu kinakwenda kunyolewa bila maji.

Zambia msicheleweshe shughuli.
 
Hivi hizi threads za michezo kuanzisha usiku wa manane ndio nini?

Nimemiss kipindi threads zinaanzishwa karibia na muda wa mechi, homa iko juu tunachangia kwa mihemuko & mchecheto.

Hizi za mapema hadi kufika muda wa mechi tumeshachoka!
Tunawahiana mrembo ili majina yetu angalau yakae juu na yawe maarugu humu. Utusamehe bure
 
Hivi hizi threads za michezo kuanzisha usiku wa manane ndio nini?

Nimemiss kipindi threads zinaanzishwa karibia na muda wa mechi, homa iko juu tunachangia kwa mihemuko & mchecheto.

Hizi za mapema hadi kufika muda wa mechi tumeshachoka!
Wanawahiana kuanzisha threads, ili tu mtu awe wa kwanza.
 
Kwa jinsi nilivyowaona Zambia wakicheza,sidhani kama Tz atamfunga Zambia.

Na bado mziki wa Congo.

Tz inaweza kutoka patupu,,yaani Goli 0.

Jiandaeni kwa vipigo na maumivu.

Golini yupo pazia Manula.
 
Timu ya Tanzania ni kama kama kila mtu kwenye group lake anajua atajipigia..hata hivyo kati ya Zambia na Congo mmoja atatufunga mwingine tutatokanae droo.
 
Hivi hizi threads za michezo kuanzisha usiku wa manane ndio nini?

Nimemiss kipindi threads zinaanzishwa karibia na muda wa mechi, homa iko juu tunachangia kwa mihemuko & mchecheto.

Hizi za mapema hadi kufika muda wa mechi tumeshachoka!
maana yake watu hawataki kukaa na upwiru! wanaushusha fasta..😂
 
uvccm jiandaeni kisaikolojia, msije baada ya mechi mkaja hapa kulia-kulia na kutafuta mchawi.

hii game zambia 'itaibandua' tanzania goli 3 au zaidi.
Aisee
 
Back
Top Bottom