Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hadi sasa tanzania tupo nafasi ya pili kuongoza kundi si ndioSafi sana vijana wetu...
Igweeeeeeeeeeeeehh ✌️✌️✌️✌️✌️✌️Weraaweraaaaaaaaaaaa goli zuri sanaaa
Igweeeeh leo nawapenda kina mwamnyeto kina Bacca kwa lolote na kwa matokeo yoyote mpira tunauonaIgweeeeeeeeeeeeehh ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Kaka Mimi post no 1 nikitoa Kila la kheri kwa TZWazambia msikimbie.
Nawajua kwa majina
Kwanini tusishangilie? Tanzania na Hamas damu damu.Tusishangilie sana.
Kabisahadi sasa tanzania tupo nafasi ya pili kuongoza kundi si ndio
Hii timu inafaa apewe mgundaPira Mgunda tunaona at least boli linatembea....
huyu anatakiwa kuachwa muda mwingineKapteni kapaisha
jamaa wa tazara hawamini macho yao wallahJamaa wa Zambia kapata kitete...