Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kwakweli wanaudhi sana...Ndio nchi yetu tuvumilie
Haka ka mziki kapo uwanjani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli wanaudhi sana...Ndio nchi yetu tuvumilie
Hata game ya kwanza walimsifia sana alipoingia ingawa mimi sikuona maajabu sana aliyofanya. Labda ana dalali wake pale DSTVDSTV wanamsifia sana.. . Sijui ingekuaje kama angekuwa anawasikia
Wanaipenda basi tuu sema hawaipendi CCMNmeshangaa leo watu wanaipenda timu
Usijali!😄 ulisema 39 right?
Kuna mtu atakucheck ufanyiwe derivery this weekend.
Kwanini tusiipenda timu yetu.Nmeshangaa leo watu wanaipenda timu
Usidanganwe na hamasaNadhani ni wakati sasa wa TFF kuacha kupoteza hela kwa makocha wakigeni ambao kimbinu wanazidiwa na Mgunda.
Baada ya kifungo chake cha mechi 8 ikitokea tumepita ningeomba yule kocha asirudi tena kwenye technical bench
Ikiisha hivi itakuwa mzuka ila kinyume na hapo tutajikuta mwishoni
Wapo humu humu wamepoa kwa sasa, wanasubiri wasawazishe waanze tena dhihaka.Wale Wazambia wa mkopo wapo wapi leo?
WA Tz MNA mambo😁😁Hivi huyu refa anatokea nchi gani mbona anachezesha vizuri sana.[emoji848][emoji848][emoji848]
Na Makolo pia vilevile..Nadhani ni wakati sasa wa TFF kuacha kupoteza hela kwa makocha wakigeni ambao kimbinu wanazidiwa na Mgunda.
Baada ya kifungo chake cha mechi 8 ikitokea tumepita ningeomba yule kocha asirudi tena kwenye technical bench
Ngoja ifungwe utasikiaKwanini tusiipenda timu yetu.
Kwamba mechi ya leo sio ya ubora bali ni hamasa?Usidanganwe na hamasa
😂😁Ikiisha hivi itakuwa mzuka ila kinyume na hapo tutajikuta mwishoni
mpira ni biashara inayohotaji propaganda ya vyombo vya habari kijana wacha atafutiwe sokoHata game ya kwanza walimsifia sana alipoingia ingawa mimi sikuona maajabu sana aliyofanya. Labda ana dalali wake pale DSTV