Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Cha pili kimeshaanzaMapumziko bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha pili kimeshaanzaMapumziko bado?
Kabisa mkuuHii mechi ni yetu na saizi tupo 11 afu wao wapo 10 inabidi tuwakazie tuhakikishe tunakaa nafasi ya pili
Ipo wazi baadae watarudi kwenye utaratibu waoKwamba mechi ya leo sio ya ubora bali ni hamasa?
Hiyo sio channel ya mapishi kweli?Tunangalia mpira kupitia TvE
mkuu usije ukatembeza ban tuhWale Wazambia wa mkopo wapo wapi leo?
Mkuu tupo makiniWA Tz MNA mambo[emoji16][emoji16]
dk 49 kipindi cha piliMapumziko bado?
Hatutakagi ujingaNgoja ifungwe utasikia
Oya usitie nuksi uziNa Makolo pia vilevile..
Subiri awape penati 🤣Mkuu tupo makini
TutamtekaSubiri awape penati [emoji1787]
Kwa hiyo una suggest yule jamaa akimaliza kifungo aendelee kui coach timu?Ipo wazi baadae watarudi kwenye utaratibu wao
Ni mchezaji mzuri ila sijayaona makali yake huko AFCON. Tukimpata yule Feisal aliyecheza ile mechi ya Yanga vs Azam, AFCON ikiisha lazima apate timu.mpira ni biashara inayohotaji propaganda ya vyombo vya habari kijana wacha atafutiwe soko