FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Huo ndiyo mpira wa Mgunda sasa wa boli litembee, back passes kama zote. Ukiwaambia hao hao wachezaji wafanye hangaisha bwege, wanashindwa kupiga hata pasi 3 bila kupoteza mpira, watawezaje sasa kuforce shambulizi.
Tanzania bado tuna safari ndefu kwenye soccer!
 
Wao ndio walijiona wamepaki


Mi nilikuwa naangalia nikajisemea Zambia wakifanya tu msako wanawaweka bao hawa wanaodhani goli moja wamemaliza.
Na mimi nilipokuwa naangalia mpira nikawa nawaambia niliokuwa naangalia nao, Zambia watakuja kurudisha hili goli. Hilo lilikuwa wazi kabisa.

Katika mazingira ya klabu tungesema kuna wachezaji wamenunuliwa au wamefanya makusudi kuchomesha ila kwa kuwa ni timu ya taifa tunaona ni mapungufu tu ya kimbinu na kiuwezo.
 
Na mimi nilipokuwa naangalia mpira nikawa nawaambia niliokuwa naangalia nao, Zambia watakuja kurudisha hili goli.
Mijitu ipo inarudisha tu mpira nyuma
Walijinafasi wakadhani wapo pekeyao uwanjani,kama chama Ccminavyojinafasi kuona nchi ni yao.
 
Yani nimesikitika sana jana, timu haiwezi kufosi kupeleka mpira mbele. Pass nyingi zinapigwa kurudi nyuma! Kuna muda pasi imetoka katikati karibia timu nzima ipo mbele, sijui ni mzamiru yule akarudisha mpira mpaka kwa manula wakat angeweza kupeleka mbele, aisee nilishangaa sana! Watu wote waliokuwa pale wanaangalia mpira wakabaki wanalaani tu!
Mzamiru wenyewe SI mnamuita kiungo punda!! Acheni awaonyeshe upunda sasa.
 
Mungu asivyo Athuman wala mgunda
Zambia hao🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Mpuuzi anakimbia kwenye wing anashindwa kupiga v pass kwa kibu dennis yuko free kabisa

Mzamiru kama scott mctominay wote wanajua pass za nyuma na pembeni na kujificha kwenye build up

Samatta anataka kujifanya messi unaenda wapi na mpira huna quality dribbling

Mechi ya congo aanze mudathir na yule kokola na lusajo

Taifa hatuna proper target man 9

Cross zinapigwa hamna mtu😆😆😆 kwa kweli Tanzania kituko mnalinda zambia wako pungufu😂
Acha uongo hizo cross zilikuwa zinapigwa na nani? Au unawaongelea Zambia
 
Very very unprofessional. Unaongoza moja unajiona kama unaongoza 5. No energy, back pass, relax kama vile unaongoza 6. Limerudi ndio wanajifanya wanakimbia. Pumbavu.
Yanayozikuta timu za Yanga na Simba
 
Scars nadhani umewaona makocha wako wa Kiswahili, timu inaongoza , opponent ana red card bado wanacheza nyuma
Sidhani kama ni maelezo ya kocha

Tangu namjua Mgunda kama kocha sijawahi kuona formation wa back passes kama ule
 
Mechi ijayo aanze lusajo
Aanze mudathir as a 6
Aanze morice maana niliona atleast anajiamini na mpira

Himid aanze pia

Kibu d aanze ila ule upumbavu wa kuswitch yeye acheze as a 9 uachwe maana samatta akikaa kwenye wing hakabi


Hatuna namba 9 kweli
Si aanze hata clement samata na mazmiru watupishe

😁
 
Kama kocha aliamua kuzuia nini kilimnyima kumwingiza job akatoa striker ?
Hapo ndiyo umuhimu wa kocha wa viwango unaonekana
 
Sidhani kama ni maelezo ya kocha

Tangu namjua Mgunda kama kocha sijawahi kuona formation wa back passes kama ule
kama uliangalia mpira vizuri utagundua tulikua hatukabi juu

Zambia wako pungufu Tanzania press wanaitrigger juu karibu na katikati ya uwanja au akienda moja basi anaenda mwenyewe kabisa wakati si sahihi kwa tempo ya mchezo kama ule

Zambia buildup ya nyuma walikua free kabisa walitakiwa wapande juu ili kuwazuia watu kucheza kutokea nyuma
 
Hiyo timu ikirudi ipitie gereza la Segerea ama Ukonga, pumbavu sana. Haiwezekana mnacheza na wachezaji 10 halafu hatuoni tofauti.

Tena hizo hela za kuwapa hawa Taifa stars sasa ziende kwenye maendeleo ya jamii tu, yaani aibu sana.

Kumbe tunajivunia na ligi la ndani kumbe ni mashindano ya viraza tukitoka tu nje ya Tz ndio tunaona rangi halisi.

Kwa hali hii hata tukibahatika kwenda world cup tutakwenda kuaibisha sio nchi tu bali bara zima la Afrika.

Wakirudi waziri husika afanye mpango angalau walale gerezani miezi sita au wafanye community work ya kuzoa taka jiji la Dar kwa mwaka mzima.
Msuva Ana 35+ lakini bado Ana fitness nzuri sana !
Wachezaji wote wangekuwa na fitness ya bacca na msuva tungeshinda 3-0 !
 
Kama kocha aliamua kuzuia nini kilimnyima kumwingiza job akatoa striker ?
Hapo ndiyo umuhimu wa kocha wa viwango unaonekana
Kuna striker zinatumika kukaba kwa jinsi zinavyoshambulia, zinasababisha timu pinzani hazipandi
 
Wangejifunza hata boli kwa Yanga ya kina Pacome![emoji1787]...Nilikua naona mipira mingi wachezaji wetu wanarudisha nyuma nikawa najiuliza shida nini? Kwamba wanashindwa kufosi na ku create nafasi mbele. Bado hatujafikia level ya kuwa professional.
Wachezaji hawajui wanataka kufanya nini uwanjani.
Yaan hilo jina kwa kwel limenifikirisha sana
 
Back
Top Bottom