singanojr
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 1,974
- 10,361
Nitafanyaje sasa.Tunagawa tu utamuWenyewe walihama uwanja wewe unahama channel[emoji1][emoji2][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafanyaje sasa.Tunagawa tu utamuWenyewe walihama uwanja wewe unahama channel[emoji1][emoji2][emoji3]
Labda kadharau kwasababu ya udogo wa mechiSijui camera man anatumia simu kuchukua video
Aaaah wapiii,Leo kdg anajitahid
Nimemuacha kwa vile ametokaUsimsahau Diarra 🤣🤣
Hongera kwa kugawa utamu timu ya Young Africans. Hii ndiyo timu sasa zingine wanacheza rede😀😀😀😀😀Ken Gold na Namungo ni nani hao? Mimi nazungumzia michezo ya Yanga sio ya hao akina kapuku kama vile Simba wa uwani.
Tulia mlimpa kiburi nyinyi wenyewe Hadi kufika hatuta ya kusema watoke wote abaiki injinia,naye kawatoe waliomsaidia kama manara na haji mfikilwa kabakia na kindoki kamwe priva na wapambe wengine ambayo hawana uwezo kuitoa yanga kwenye hali ngumu inayopitia Sasa,injinia akitaka afanikiwe aache kiburi,chuki na awafuate wale waliomsaidia wakati anaingia madaraka na kupata mafanikio aliyopata.Yaani ni hivi Injinia atuachie timu yetu.
Hatumtaki
Utopolo atapata point kwa nani?Kwenye hili group, TP Mazembe atamaliza mkiani