Iume na wewe au hauna meno..Aisee roho imeniuma sana hawa vitoga kusawazisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iume na wewe au hauna meno..Aisee roho imeniuma sana hawa vitoga kusawazisha
Hunizidi mimi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanga wakiwa wanateseka, mie Roho kwatuuu.
Ahahhahahahah daaaah..
😃😃😀😀😀😀😀Ahahhahahahah daaaah..
Ashinde mechi zake zote baasi. Point 9, anapita.Mwenye hesabu nzuri za 🐸 kufuzu robo anipgie hapa ila azingatie kuwa team haina matumaini
Israel mwenda kakufata wewe huko kwa wakubwa?Hao wa shirikisho wafuate nini huku kwa wakubwa??
Kibabage hakuna mchezaji pale, sijui anatembea na nani pale Yanga.
Mbona ya nyuki wa Tabora hakushinda ?Hii game gamondi angeshinda
Hakuwahi kuwa beki mzuri, kila mara hakuwepo kwenye eneo lake na haijulikani alikuwa wapi. Kuna siku Mourinho alisema kuna baadhi ya wachezaji wake ambao mpira ukianza, wanakuwa "invisible".Leo maji yali mzidia ika mbidi hadi baka awe ana msaidia ule upande .
Hivi mnamkomalia kocha kama vile alivamia timu ilhali aliletwa tena kwa tambo nyingi....Kwahiyo mkuu una imani na huyu kocha? Maana mimi nimeangalia wapinzani wetu wote watatu sijaona mpinzani anayetisha wote ni wa kawaida tu ila shida ni uzembe wa Yanga wenyewe ulinzi ovyo, kumalizia ovyo.
Unamzungumzia Mazembe yupi? Huyu ungaunga au Mazembe yule wa ubora wake? Mazembe huyu wa sasa hata kwa Tabora anakufa nyingi tu.Onyesha mechi yoyote ambayo uliwahi kumshinda Mazembe hata ya kirafiki nakupa laki
Shida ni suti au uwezo? Mbona mmepagawa mapema hivyo!?Kocha wa Yanga huyu mie simuelewi kocha anakula suti utafikiri Mnyasa au mwalimu wa kwaya wa kanisa la kisabato..
Eti Caf unatuletea Beki Kibabage mwili kama Mwanafunzi wa Kidato cha kwanza,
Aucho umri mkubwa utepe wa mguuni wote umekauka anajifanya kijana anasuka suka ili aendelee kupiga hela za Gabachori,
Musonda anacheza kama ndani ya soksi kuna Siafu,
Wapuuzi nyie Timu hamna January mnakamilisha ratiba ili mludi Ligi kuu mtusapport waume zenu Simba kuelekea Ubingwa wetu.
Nyie Mbwa mpo ???
Pumbavu zenu mmekoswa koswa na Mshale wa Kichwa Wajinga Nyie hamna timu
Nawachukia sana nyie wajinga na makundi hampiti Yanga(Topolo) wanamaliza wamwisho kwenye hili kundi.
Naona 1 kwa 1 leoFT: Yanga 1 - 2 Tout Puissant Mazembe....
Pride comes before a fall