Mayala masuka
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 449
- 795
MItaonekana kwa TV?
,tHawa Galaxy ndio walikua wanamfunga Mamelodi na Pirates Timu ipo humo ngoja tusubiri boli la maana hiyo baadae..
Amna, mpira haupandi tu kama nisivyopenda vitu vingine... Sio kwamba nimevurugwa... Na kwa upande wangu sio burudani ila naafiki ni burudani kwa wengine maana najioneaMpira si burudani kwani pana mtu inamsaidia Yanga,Simba au Madrid Mzala vip umevurugwa?
HawakataziMbona uzi umekuja mapema mno?
Kwani wanakataza?Ndio muandike uzi usiku wa manane mechi ya kirafiki, UJUHA
Saa 10 jioni!!Ni Saa Ngapi Kaka?
Mnapenda sana kujilinganisha na mnyamaπ Hilo ndilo kombe ambalo mnaweza kuchukua ila huko nje hamna tofauti na Ihefu au mashujaa FCπππKila la kheri timu yangu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara ππππππππππ sisi sio kama ubwela fc na mwaka huu tunabeba tena ubingwa Cc ephen_
Not like usMnapenda sana kujilinganisha na mnyamaπ
Leo kipigo tenaπππ
Kwani kuanzisha uzi wa Yanga haiwezi kuwa ndo jukumu lake?Ni kukosa kazi, mtu anaamka na uzi wa Yanga unadhani ana majukumu ya kufanya kweli huyo? Ushabiki huu wa kimasikini unapoteza kizazi chetu, hatukatazwi kushabikia team zetu lakini isiwe too much kiasi cha kusahau majukumu mengine.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Huko nje hamna tofauti na Pamba au IhefuπππNot like us View attachment 3050843
Ihefu au Mashujaa iliyokufunga wewe MAN U tano..!!! Kweli nyie ni mbumbumbu FCMnapenda sana kujilinganisha na mnyamaπ Hilo ndilo kombe ambalo mnaweza kuchukua ila huko nje hamna tofauti na Ihefu au mashujaa FCπππ
Leo kipigo tenaπππ
Baadae usikimbie mkuu ππHuko nje hamna tofauti na Pamba au Ihefuπππ
Kichapo tu