FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

Hivi huyu kocha wa simba huwa anapangiwa kikosi au ni jeuli tu, hivi inakuwaje kocha kila siku anawakumbatia kina mzamiru na kapombe licha ya kuwa wameonyesha uwezo mdogo na kuwaacha wachezaji wazuri kwenye benchi kama okejepha, kagoma na kijili
si unamuona madevu pale pembeni inanikumbusha kipindi kile cha kina bocco

umesajili wachezaji si uwachezeshe unawaweka benchi wafanye nini unakomaa na wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…