Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wing-back inatumika katika formation kama 3-5-2 au 3-4-3 au vyovyote tu ili mradi ucheze na mabeki wakati watatu.
Wale mafull back ndio wanakuwa ma-wing back wanageuka kuwa mawinga wakati wa kushambulia, na wanarudi kuwa mabeki wakati wa kushambuliwa.
Mfumo wa sasa Simba wanacheza
4-2-3-1 ambapo wanatumia full back na sio wing-back
Eti ephen_ Aziz k anafanyaje kwenye mechi yetuAzizi Ki anafanya nini uwanjani?
Anaomba kazi kijanja huyu
Naunga mkono hojaHuyu Mukwala hana akili
Sababu inawezekana ikawa ni mfumo au ufundi wa mchezaji mmoja mmoja?Ukweli sioni ufundi....pasi zinapotea kirahisi kabla ya kufika eneo la D la mpinzani..
mi nawaambia uyu ni 000000000Huyu Mukwala hana akili
Ndio ndioKwani yupo uwanjani?
Nipo kwenye sherehe nabinya mpunga, msalimie Ki akeeNdio ndio
MMESHAANZA 🤣Timu haina muunganiko wachezaji wanakinbia hovyo, huyu Mutale ni Saido aliyezubaa. Ong bak atuachie timu yetu na Mo aondoke