mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Tayari mijitu fulani mijinga jinga ilishaliabisha taifa Jana. Taifa haliwezi pata aibu mara mbili mkuu[emoji1732]Ujue saa 3 usiku sio mbali sana. Kuna mijitu inaenda aibisha taifa kwa kurukaruka uwanjani ifikapo saa 1
Mkuu upo serious?Bora Kisinda Kuliko Faridi, Faridi anazingua sana
100%Mkuu upo serious?
Sipati picha hawa mbuzi wakishinda, tutalala mapema sana..Jitu lipigwe tupunguze noise pollution
Kuna aibu italipata Taifa mwaka huu na inaanza leo saa 1 usiku. Ngoja tuone. Mwenda wazimu anaaza tena kunyolewa wakati alishapoteaTayari mijitu fulani mijinga jinga ilishaliabisha taifa Jana. Taifa haliwezi pata aibu mara mbili mkuu[emoji1732]
Muda unasogea. Mkaze roho tusikimbiane
Ngoja tuone mpira Dak 90, ila anaejua anajua tu Mzee. Kwa Sasa Yanga wanajua boli hata machizi wa milembe wanajua hili[emoji23][emoji23]. Ukibisha waulize viongozi na wajumbe wa mkutano mkuu wa Simba ajenda Yao kuu ilikuwa nini kama sio kumfunga Yanga...Kuna aibu italipata Taifa mwaka huu na inaanza leo saa 1 usiku. Ngoja tuone. Mwenda wazimu anaaza tena kunyolewa wakati alishapotea
Na asiposhinda itakuwa ukweli kinyume chake🤣Hawa Mikia Kila wakiwaza mara ya mwisho tulichokifanya hapa Stade Olympique de Rades, mavi yanawagonga vyupi vyao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Nawakumbusha tu Yanga akishinda Kuna watu wataugulia maumivu mara mbili.. yaani Jana na Leo[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Wanadhani hii ni ligi yao ya bahasha. Waliweke kichwani hilo na wategemee kuchomolewa mwikoNawakumbusha tu Mona walimtoa bingwa RS Berkane
Usiwakimbize mapema waache wajioneeNawakumbusha tu Mona walimtoa bingwa RS Berkane