π€£π€£
Kwani dakika ndio zinacheza?Mpira dakika tisini.
πππͺAnashinda nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaaah shukrani kaka, maana niliogopa ..
Ukija huku utachekwa wewe
πΈ bhanaMechi yetu kabisa hii , sekandi hafu usikimbie
Hizi quotes ulitakiwa uzifanye mapema Mtani saa hii hazina maana ujue. π€£π€£Sisi 2 Yanga yaiiiiii boli litembee
Simba aliongoza kwa takwimu game yake na ASVITA CLUB na akafa 5, au umesahau?takwimu umeona lakini
naongoza kumiliki mpira na kuwafikia langoni hawa weupe kwetu
Ni mkuu. [emoji881] Guvu mojamzee wa bwaksi pole kwa maumivu popote ulipo, mwenyewe naona umejikaushaaa nimekukumbuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Chenga twawala, magoli wapata wao sheikh"Yanga wanacheza vizuri, mpira wanatawala wao
Golini kwa mpinzani wanafika sana wao
Hawa Minastr wanawazidia wapi Yanga?
,goli la 3 tutafunga dk za nyongeza FTKushinda itakuwa kazi ngumu, ila tukipata goli la kufutia machozi sio mbaya. I wish tupate hata sare
Labda ya vitenge.Kushinda itakuwa kazi ngumu, ila tukipata goli la kufutia machozi sio mbaya. I wish tupate hata sare
Sikuiona bora Numbisa aje aulizeHizi quotes ulitakiwa uzifanye mapema Mtani saa hii hazina maana ujue. π€£π€£
Mkuu mbona mapema sana [emoji23]Kushinda itakuwa kazi ngumu, ila tukipata goli la kufutia machozi sio mbaya. I wish tupate hata sare
Mchekwe mara ngapi?Ukija huku utachekwa wewe
[emoji169][emoji172][emoji123]