ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nyie wenye timu mmepata niniBasi huwa mnadhani team mnayo kumbe viazi tu, haya kikowapi sasa[emoji23].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wenye timu mmepata niniBasi huwa mnadhani team mnayo kumbe viazi tu, haya kikowapi sasa[emoji23].
Achana nao hao wanapata nguvu ya kusema kwasababu leo Mayele hakuwepoMikia inapishana kama paka shume
Azizi Ki mpira uligonga bukta ukamrukia kipaHivi hawa viumbe wamepiga hata shuti moja golini lipa akadaka.?
Yani anaboaaaHuyo shabiki mwenzako wa huko,usitutajie tajie
Hyo jezi imemfanya awe Mweusi mnooAliyewakosesha magoli ni huyu cheusi View attachment 2515234
Kwani hakukaguliwa kabla ya mechi kuanza?Hyo jezi imemfanya awe Mweusi mnoo
Akaguliwe nini sasa? Kama inampendeza au la?Kwani hakukaguliwa kabla ya mechi kuanza?
Kama unaendana na rangi ya mwili wakeAkaguliwe nini sasa?
Wenyewe wanataka wasifiwe jezi kali hawajali ww kama ni mweusi tiii...Kama unaendana na rangi ya mwili wake