SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtani vipiiiyaan leo tupo sambamba
ninge hama mie looonahama nchiii hiiyanga akishindaa
ndo mkomage mlienda mmepiga brichii kabisaaa mlijua wale mabishooo😂😂😂Anafurahia ushindi wa mwarabu kwa kufakamia kitumoto
ila watu bhna wanapigwa kama ngomaaa na hawakomiHii Timu inakuhusu nini wewe Dunduka ??? Mpaka unaifungulia Uzi
Inatosha sasa mkuu lala salamaWenyewe wanataka wasifiwe jezi kali hawajali ww kama ni mweusi tiii...
Yale makoti yao uliyaona?
Madtobo aliyoyazindua kwenye derby ya Kariakoo ameyaendeleza leo. Na mishuti piaLeo alikua anahema kama nguruwe anachinjwa.
daa najuta kwa nini sikuwahi kula mapema naenda kulala na njaa
Mpaka wakati mwingine,mara nyingine
Daima mbele,nyuma mwiko 💛💚💛💚💛💚💛💚💪💚💛💚💛💚💪,we will baunsi baki
Come on you Citizens
😂😂😂😂😂daah
Kisinda ni Kibu aliyechangamka😄😄😄😄😄
Wewe upo nyuma Kwa pwointi ngapi[emoji23][emoji23]
Haya tusipishane stepu, twende kama MayeleTunatazama mechi ijayo,hii imepita
hiyo kama mayele au msondo ngomaHaya tusipishane stepu, twende kama Mayele
Kwaya master wetu ni ukikaidi utapigwa2
View attachment 2515464
Sema nimepita pale,mjifunze nanyinyi kizuri kinaigwa 🤣Citizens waliotuaibisha kwenye big screen
Hayuko Yanga,labda jiesiemu huko......wewe hapo unaweza kuwa shabiki wa Yanga saizi?Yani anaboaaa
Nawapa pole tuu kwakweli mm hata alipokua Simba alikua ananiboa...mdomo wake kama funiko
Kuimba kupokezana 😀Haya tusipishane stepu, twende kama Mayele
Kwaya master wetu ni ukikaidi utapigwa2
View attachment 2515464
wanasemaga big sreen kubwa kabisaaaSema nimepita pale,mjifunze nanyinyi kizuri kinaigwa 🤣
Ungelijua hili juzi usingekuwa unaizomea SimbaKuimba kupokezana 😀