Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio ukweliWacha uongo mkuu
Siyo ubovu,kimo ni maumbile ya Sir God,hilo liheshimike.......we hukuona Boko jana alikutana na watu warefu kwake 😂😂😂Ubovu wenu leo umejidhihirisha ndani ya dkk 16
wepesi sana kuzubaa kwa wachezaji kumetugharimuTufungwa goli nyepesi. Hawa tunawamudu ila hatuna mipango tunapokuwa golini kwao.
Ila kweli mkuuSiyo ubovu,kimo ni maumbile ya Sir God,hilo liheshimike.......we hukuona Boko jana alikutana na watu warefu kwake 😂😂😂
Hongera sanaHii nimeitetea Kwa Thesis darasani.
Hata mikimbio mizuri pia mnayoWajomba n wakawaida sana
Ball position pia tunayo
Jana nilikwambia timu zetu kona na faulo.... mtihaniIla kweli mkuu
wepesi sana kuzubaa kwa wachezaji kumetughaTufungwa goli nyepesi. Hawa tunawamudu ila hatuna mipango tunapokuwa golini kwao.
Ulianza vizuri ila umemaliza vibaya. Monastir wala hawana habari kama Simba ilifungwa na Horoya jana, yenyewe inajua inacheza na Yanga😃😃 Nilipoona tu hicho kikosi,nilijua leo tunafungwa. Prof. Nabi ana makusudi sana.
Uzuri na nyinyi mlifungwa jana! Hivyo tutagawana maumivu. Mimi hata mpira wenyewe siangalii.