chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
kwa mkapa hatoki mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guvu moya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu ni mwema kila wakati
Simba nguvu moja
Waende wapi sasa wakati matokeo kila mtu anajua wanafungwa vipers 3-0 simbaNenda Simba
Hivi nyie Utopolo kushinda ile game ya michuano ya LUZA mnajiona kama nina, mbona hamtaki Simba iwe na AmaniUganda ni ndugu zetu wa damu. Kila la kheri waganda.. Ushindi wa bao 3-0 utapendeza zaidi
Kwenye picha kikosi Cha vipers kinaonekana kipo imara zaidi...Ni siku nyingine tena ambapo Mabingwa wa Uganga Vipers S.C wanawakaribisha Simba S.C kwenye mchezo mwingine wa kutafuta alama tatu ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi C wa ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Mchezo huu utapigwa kwenye dimba la mtakatifu Maria huko Kitende nchini Uganda.
Ikumbukwe kuwa Simba ndio vibonde wa kundi hili wakiwa mkiani mwa kundi bila point yoyote huku wakiwa hawajafunga goli lolote, hivyo wataingia wakiwa na kiu ya kupata ushindi ili angalau waweze kufufua matumaini ya kufuzu hatua inayofuata
Kwa upande wa wenyeji Vipers wao pia Hali yao sio nzuri japo wana point moja hivyo ushindi kwao ni muhimu ili kuendelea kuwa na ndoto za kutinga robo fainali.
Je mnyama atapindua meza ugenini?
Au vipigo vitaendelea?
Majibu yatapatikana ndani ya dakika 90
Mchezo huu utapigwa majira ya saa1.00 usiku wa leo na utakuwa mubashara kupitia ZBC2 ya Azam Tv na channel 229 ya Dstv
N.b Hela za mama Samia bado zipoView attachment 2529472View attachment 2529473View attachment 2529474
Tuzisubiri dakika 90 ndugu tutarudi hapa kuzungumzaWaende wapi sasa wakati matokeo kila mtu anajua wanafungwa vipers 3-0 simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] Sasa muwe na amani ya kazi gani?Hivi nyie Utopolo kushinda ile game ya michuano ya LUZA mnajiona kama nina, mbona hamtaki Simba iwe na Amani
kesho sio mbali, ni bora tuwaombee tu, hata droo sio mbayaHayo matokeo yawekwe juu chini.
Uwanja wa St. Mary's huwa wanatoka, ila wanaenda kulala na viatu..
Kwetu tuna wakwe zetu Waganda, lazima niwaunge mkono wakwe.
#Lolote linaweza kutokea...
Kwenye hiyo picha ya vipers Kuna huyo jamaa wa kushoto kwao kavaa kitambaa Cha uongozi huwa ana tuvurugu vurugu Fulani kwenye pitch,yawapasa Madunduka kuwa na tahadhari zote. Kila la Kheri Milton Karisa!Ni siku nyingine tena ambapo Mabingwa wa Uganga Vipers S.C wanawakaribisha Simba S.C kwenye mchezo mwingine wa kutafuta alama tatu ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi C wa ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Mchezo huu utapigwa kwenye dimba la mtakatifu Maria huko Kitende nchini Uganda.
Ikumbukwe kuwa Simba ndio vibonde wa kundi hili wakiwa mkiani mwa kundi bila point yoyote huku wakiwa hawajafunga goli lolote, hivyo wataingia wakiwa na kiu ya kupata ushindi ili angalau waweze kufufua matumaini ya kufuzu hatua inayofuata
Kwa upande wa wenyeji Vipers wao pia Hali yao sio nzuri japo wana point moja hivyo ushindi kwao ni muhimu ili kuendelea kuwa na ndoto za kutinga robo fainali.
Je mnyama atapindua meza ugenini?
Au vipigo vitaendelea?
Majibu yatapatikana ndani ya dakika 90
Mchezo huu utapigwa majira ya saa1.00 usiku wa leo na utakuwa mubashara kupitia ZBC2 ya Azam Tv na channel 229 ya Dstv
N.b Hela za mama Samia bado zipoView attachment 2529472View attachment 2529473View attachment 2529474
Hakika utakaa nayo pia!Nasimama na SIMBA yangu View attachment 2529486