Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 860
Asante Mtani, umekomaa kwenye mzalendo wa kweliall the best Mtani….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mtani, umekomaa kwenye mzalendo wa kweliall the best Mtani….
was ngapiNi siku nyingine tena ambapo Mabingwa wa Uganga Vipers S.C wanawakaribisha Simba S.C kwenye mchezo mwingine wa kutafuta alama tatu ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi C wa ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Mchezo huu utapigwa kwenye dimba la mtakatifu Maria huko Kitende nchini Uganda.
Ikumbukwe kuwa Simba ndio vibonde wa kundi hili wakiwa mkiani mwa kundi bila point yoyote huku wakiwa hawajafunga goli lolote, hivyo wataingia wakiwa na kiu ya kupata ushindi ili angalau waweze kufufua matumaini ya kufuzu hatua inayofuata
Kwa upande wa wenyeji Vipers wao pia Hali yao sio nzuri japo wana point moja hivyo ushindi kwao ni muhimu ili kuendelea kuwa na ndoto za kutinga robo fainali.
Je mnyama atapindua meza ugenini?
Au vipigo vitaendelea?
Majibu yatapatikana ndani ya dakika 90
Mchezo huu utapigwa majira ya saa1.00 usiku wa leo na utakuwa mubashara kupitia ZBC2 ya Azam Tv na channel 229 ya Dstv
N.b Hela za mama Samia bado zipoView attachment 2529472View attachment 2529473View attachment 2529474
Kabisa mkuuNasimama na SIMBA yangu View attachment 2529486
Mwamba bado upo bongo?Vipers 3-0 Mikia Niko paleeeee
Kinyonge sanaNasimama na SIMBA yangu View attachment 2529486
HahaahaHawa jamaa nilipenda angalau washinde hii mechi ila nkifikilia tambo na maneno yao ya kuudhi, nawaombea tu vichapo.
Najua watachapwa ila hasira zao watakuja kuzihamishia kwa yanga tar 16 Aprili. Hapo yanga asipokaa vema anaweza akapoteza hiyo mechi maana yatacheza kufa kupona.
Kuba embwa eyo!leero empologoma zigenda kukubwa nnyo
Kwa uwezo gan mpaka iwe kufa na kupona???Hawa jamaa nilipenda angalau washinde hii mechi ila nkifikilia tambo na maneno yao ya kuudhi, nawaombea tu vichapo.
Najua watachapwa ila hasira zao watakuja kuzihamishia kwa yanga tar 16 Aprili. Hapo yanga asipokaa vema anaweza akapoteza hiyo mechi maana yatacheza kufa kupona.
tatizo mnakoka moto,kinyume nyume ndio kazi yenu,na mungu juu.Mungu ni mwema kila wakati
Simba nguvu moja
Hata wanga husali kwanza Mungu ni Alfa na Omegatatizo mnakoka moto,kinyume nyume ndio kazi yenu,na mungu juu.