FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

6f58edfbac18c337bb6e80276d57fc7b.jpg
 
Kuna watu kwa kuwa walipigwa kwa Mkapa wakati wako kwenye siku zao..wanadhani na Mnyama hivyo hivyo.
Kila la kheri Mnyama.
 
Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .

Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .

Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .

Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
 
Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .

Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .

Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .

Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
Kwa kikosi gani?
 
Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .

Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .

Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .

Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
Hii nafasi yako Leo itakua inacheza namba ngapi?
 
Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .

Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .

Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .

Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
Hapo ni K Vant ilikuwa inakushuhudia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwa leo sitaweza kufanya hivyo maana nafsi imedhibitisha .

Alafu kwakuwa nafsi yangu haikuwahi kuniongopea hata mechi siangalii nipo nanwagilia moyo nataka kufika saa moja niwe nimezima ili nije nibebwe tu sitaki shari na wanayanga
Kumbe pombe zinaongea
 
Ni siku nyingine tena ambapo Mabingwa wa Uganga Vipers S.C wanawakaribisha Simba S.C kwenye mchezo mwingine wa kutafuta alama tatu ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi C wa ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Mchezo huu utapigwa kwenye dimba la mtakatifu Maria huko Kitende nchini Uganda.

Ikumbukwe kuwa Simba ndio vibonde wa kundi hili wakiwa mkiani mwa kundi bila point yoyote huku wakiwa hawajafunga goli lolote, hivyo wataingia wakiwa na kiu ya kupata ushindi ili angalau waweze kufufua matumaini ya kufuzu hatua inayofuata

Kwa upande wa wenyeji Vipers wao pia Hali yao sio nzuri japo wana point moja hivyo ushindi kwao ni muhimu ili kuendelea kuwa na ndoto za kutinga robo fainali.

Je mnyama atapindua meza ugenini?
Au vipigo vitaendelea?
Majibu yatapatikana ndani ya dakika 90

Mchezo huu utapigwa majira ya saa1.00 usiku wa leo na utakuwa mubashara kupitia ZBC2 ya Azam Tv na channel 229 ya Dstv

N.b Hela za mama Samia bado zipoView attachment 2529472View attachment 2529473View attachment 2529474
Simba nawaombea ushindi . Maana hapo kilabuni hapata kalikaaa
 
Back
Top Bottom