Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Bora wangejiita old boys fc.Simba au mdoli wa Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wangejiita old boys fc.Simba au mdoli wa Simba
Mzee leo tunashambulia mwanzo mwisho hakuna kupaki basi.Waganda huwa hawana mchezo pale kwao. Ushauri wangu ni kuwa Simba ipaki tu bus kupunguzwa idadi ya magoli
Kwa kikosi gani?Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .
Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .
Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .
Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
Hiko hiko ndugu mimi ni mjumbe tu wa nafsi yangu tu hivyo siuwawi ila Nafsi kasema leo kwetu SimbaKwa kikosi gani?
Hii nafasi yako Leo itakua inacheza namba ngapi?Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .
Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .
Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .
Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
Nakusubiri ukija kumlaumu robertinhoHiko hiko ndugu mimi ni mjumbe tu wa nafsi yangu tu hivyo siuwawi ila Nafsi kasema leo kwetu Simba
Kwa leo sitaweza kufanya hivyo maana nafsi imedhibitisha .Nakusubiri ukija kumlaumu robertinho
Hapo ni K Vant ilikuwa inakushuhudia.Nafsi inaniambia kuwa niutangazie umma wa jukwaa hili kuwa ndugu ukiweza hata uwanjani usiende au hata Tv usiangalie maana Simba amekwisha shinda .
Nafsi imenishuhudia hivyo jioni hii nikiwa Bar nakunywa K vant zangu nafsi kila nikiuliza je tutapigwa inasema hapana leo kwenu simba .
Nenda Simba Nenda hata sasa nafsi imegoma kubadili muelekeo .
Akifungwa Simba sitarudi tena hapa jukwaani na itakuwa mwisho kuwa katika forum hii japo ni haiwezekani hata kidogo Simba kufungwa leo nafsi imesema No.
Kumbe pombe zinaongeaKwa leo sitaweza kufanya hivyo maana nafsi imedhibitisha .
Alafu kwakuwa nafsi yangu haikuwahi kuniongopea hata mechi siangalii nipo nanwagilia moyo nataka kufika saa moja niwe nimezima ili nije nibebwe tu sitaki shari na wanayanga
Najua mtasema hivyo ila mimi nikilewa kidogo kile nafsi itaniambia basi ni kweli uwa bahati mbaya siko vizuri na mambo ya kiroho ila ndiyo lishapita hilo .
Pombe haiongei ila inatafakirisha toka nafsini .Kumbe pombe zinaongea
Baada ya ulozi ku failMungu ni mwema kila wakati
Simba nguvu moja
Simba nawaombea ushindi . Maana hapo kilabuni hapata kalikaaaNi siku nyingine tena ambapo Mabingwa wa Uganga Vipers S.C wanawakaribisha Simba S.C kwenye mchezo mwingine wa kutafuta alama tatu ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi C wa ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Mchezo huu utapigwa kwenye dimba la mtakatifu Maria huko Kitende nchini Uganda.
Ikumbukwe kuwa Simba ndio vibonde wa kundi hili wakiwa mkiani mwa kundi bila point yoyote huku wakiwa hawajafunga goli lolote, hivyo wataingia wakiwa na kiu ya kupata ushindi ili angalau waweze kufufua matumaini ya kufuzu hatua inayofuata
Kwa upande wa wenyeji Vipers wao pia Hali yao sio nzuri japo wana point moja hivyo ushindi kwao ni muhimu ili kuendelea kuwa na ndoto za kutinga robo fainali.
Je mnyama atapindua meza ugenini?
Au vipigo vitaendelea?
Majibu yatapatikana ndani ya dakika 90
Mchezo huu utapigwa majira ya saa1.00 usiku wa leo na utakuwa mubashara kupitia ZBC2 ya Azam Tv na channel 229 ya Dstv
N.b Hela za mama Samia bado zipoView attachment 2529472View attachment 2529473View attachment 2529474