Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifungwa angeanza SAKHO
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee tenaKila la kheri chama langu lenye wachezaji wazee
Yani makosa bado yaleyale tu, Chama kama winger bado haina impact kwetu... Huwezi kumuweka acheze winga kiungo wako bora wa uzalishaji magoli...
Chama mbona anakuwa huru tu uwanjani bila kujalisha kapangwa namba ganiYani makosa bado yaleyale tu, Chama kama winger bado haina impact kwetu... Huwezi kumuweka acheze winga kiungo wako bora wa uzalishaji magoli...
Kocha kanifurahisha kumuanzisha Phiri
Na hilo ndio tatizo letu, team inakosa balance nzuri. Chama mara nyingi anaingia ndani alipo Saido badala ya kutanua uwanja. Matokeo yake upande ule Zimbwe anazidiwa maana space inabaki kubwa. Tunahitaji typical wing-back, it's better Phiri angecheza pembeni, Chama na 10 na Saido kama namba 9 kivuli atleast ingekuwa na faida angalau.Chama mbona anakuwa huru tu uwanjani bila kujalisha kapangwa namba gani
We jamaa unaujua mpira.Na hilo ndio tatizo letu, team inakosa balance nzuri. Chama mara nyingi anaingia ndani alipo Saido badala ya kutanua uwanja. Matokeo yake upande ule Zimbwe anazidiwa maana space inabaki kubwa. Tunahitaji typical wing-back, it's better Phiri angecheza pembeni, Chama na 10 na Saido kama namba 9 kivuli atleast ingekuwa na faida angalau.
Niache mtani kwa sasa 😄Mbona kinyonge sana mtani?
Nafsi ndugu sio nafasiHii nafasi yako Leo itakua inacheza namba ngapi?
Vipers sio WaarabuVIPERS NI RAJA CASABLANCA MTUPUUUUU