FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

Kwenye picha kikosi Cha vipers kinaonekana kipo imara zaidi...

Sisi NDIO Simba 🦁🦁 Nguvu moja tuna fyeka Kila kisiki kitakacho kuja mbele....

Mungu ibarik Simba 🦁🦁 MUNGU ibarik Tanzania

Leo vipers lazima wapoteane....
 
Hivi nyie Utopolo kushinda ile game ya michuano ya LUZA mnajiona kama nina, mbona hamtaki Simba iwe na Amani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] Sasa muwe na amani ya kazi gani?
Waganda ni ndugu zetu kabisa, Kila la kheri waganda
 
Bado masaa machache tuanzw kusikia hizi kauli

"Hamna kocha humo"

"Mo tapeli tu"

"Bocco Mzee anarogq wenzake"

" Mgunda alikua kashaipatia timu mzungu anaharibu"

"Hongera kwa wale wanaoihujumu timu"

" Mangungu anatakiwa aachie uongozi"

" Manula nae kiwango kimeshuka"

" Hawa jamaa kwa mkapa wakija hawatoki"

" Chama hatakiwi kucheza winga anatakiwa acheze kati pale"

" Sawadogo tumepigwa"

" Kwanini tumemuacha mkude dar"

" Sakho anarukarukq tu"

" Kocha ampe nafasi Kibu Dee"
 
Hayo matokeo yawekwe juu chini.
Uwanja wa St. Mary's huwa wanatoka, ila wanaenda kulala na viatu..
Kwetu tuna wakwe zetu Waganda, lazima niwaunge mkono wakwe.

#Lolote linaweza kutokea...
kesho sio mbali, ni bora tuwaombee tu, hata droo sio mbaya
 
Kwenye hiyo picha ya vipers Kuna huyo jamaa wa kushoto kwao kavaa kitambaa Cha uongozi huwa ana tuvurugu vurugu Fulani kwenye pitch,yawapasa Madunduka kuwa na tahadhari zote. Kila la Kheri Milton Karisa!
 
SeMBe gufu moiyah.
Kwa Mtakatifu Mariamu hatoki mtu.
Leo rasmi tunaanza safari yetu ya kubeba kombe la robo fainali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…