Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
UsinipangieeeeeeeeSawa, ukalale sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsinipangieeeeeeeeSawa, ukalale sasa
Kumbe Simba sio jayanti tena?Zife wapi ilhali timu 'bora ya Yanga' iko mkiani kama sisi ambao siyo timu Bora.
Bora hata mashabiki wa liverpool tumepoozwa kidogoNdugu yako ni shabiki wa Simba na Man U, Leo sijui kama atapata usingizi maskiini..!!
Ila dunia haiko fair, ngoja nikachekee chooni asinione..!![emoji2960]
Kolo kunywa maji ya vuguvugu ulale chali kivulini upooze machungu ya bao 1 kwa nunge[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utopolo mko mkiani, mna alàma mbili tu hamjashinda hata mechi moja. Mkitaka kwenda robo itabidi msimamo uwekwe juu chini.
Utadhani wao wanaongoza kundi lao.
Nyani haoni...
Hawana maajabu ni bahati ilikuwa upande wao, wangepata goli dakika za mwanzo tungesema wametuzidi sasa dk za nyongeza dk ya karibia na mwisho.Hatimae mchovu mmoja amtolea uvivu mchovu mwenzake.
🐸🐸🐸Usinipangieeeeeeee
Yeah!... better improvement.Timu inaonesha improvement,ubovu unapungua.
Unajua idadi ya magoli aliyofunga Giroud?Technically Giroud ni striker wa daraja la kawaida sana, anaanzaje kuwa Bora... Ukiulizwa striker Bora ufaransa kwa miaka 5 iliyopita utamyaja Olivier Giroud? Kwa kipi hasa?
Deschamps kumfanya yeye ndio first choice kwa miaka yote hiyo sio kigezo cha kufanya tumuone ni Bora... Deschamps ni kocha mwenye kiburi na chuki na hta Giroud amekuwa akimpanga kwa mahaba tu...!!
Kwanza unajua hata sababu ya yeye kutomuita Karim Benzema kwa miaka yote Ile kabla hajamuita kwenye National league mwaka 2021??
🤣🤣🤣Aiseeee kolo nyawa nka wa wydad ( maanake kolo ameolewa na wydad kwa lugha ya kijerumani )
Hakuna cha kukoma wala nini hapa tuko sawa tuWakome..
Binadamu na viumbe vyote duniani ni matokeo ya goli 1, mengine ni mbwembwe tu [emoji16]Nadhani mmejionea sio mnafungwa goli nyingi
Kivp sasa embu weka msimamo kwanza WA kundi lenu sasaUto wamefurahi kama vile ndo wameshinda.
kinacho furahisha ni muda mlio fungwa [emoji16].Uto wamefurahi kama vile ndo wameshinda.