FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Unakumbuka alichofanya Sakho kwenye first leg?

Phiri ni risk, hana game fitness

Nyoni naye ni mchezaji wa msimu, huwenda akiingia atacheza vizuri lakini pia akavuruga kabisa mchezo wenyewe kwa poor performance

Ni kweli Chama amekuwa akicheza chini ya ubora wake tuliozoea ila hiyo ni kutokana na kadi ambayo anayo.

Hofu ya kupigwa kadi nyekundu ndio inamfanya ashindwe kukaba vyema
Nyoni kaingia as how I said atafaa kwenye hizi dakika za mwisho.
 
Back
Top Bottom