FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Mi ni shabiki wa Simba ila niseme tu ukweli laiti kama Yanga wangejikaza wakaingia Hili kombe la Champions League wangeweza hat Kufika Semi final au hat Fainal kabs Na hii ni kwasabb timu nyng bora za Africa sasaiv zimeshuka sana kiwango zimebaki znabebwa na Rekodi za makaratasi tu ila uwanjani ni wa kawaida sana,

Kam ukiangalia hii Wydad alf mtu akakwambia et Ndo bingwa wa mwaka jana inawez ikakufikirisha sana,

Naludia tena kusema Yanga wana Mpira mzuri kulinganisha na huu mpira tunaoucheza Simba, simba tuna Mpira wa mwaka 1978 huko yani mpira wa Butua butua na Mpira wa sifa za kijinga vivid example Chama,

Mashabiki wa Simba humu tunatiana moyo kwamb eti tumetoka kiume ila ukweli tu tuseme hii Simba wana mpira mbovu mno Wachezaji wake ukiwaangalia Ni kama Wastaafu kumbe ndo First eleven hiyo,

Yani mtu akifungia Tv akaangalia Mpira wa Simba anawez hisi labda simba wanacheza Mechi ya kuchangia Damu kumbe ni mechi ya Robo fainali kabsa, mi nlkuw naangalia mpk nmekerwa kila muda mijitu inabutua tu hakuna Game planning kabs,

Yani mtu akiona tu Mbele kuna jezi nyekundu bas anabutua limpira huko huko huyo wa mbele apambane,.... Kiukweli hii Simba ifanye investment kama Yanga la sivyo Yanga itawashangaza watu siku za usoni,

Mimi ni Shabiki wa Simba ila Naiona Yanga Inafika Fainali ya kombe la Shirikisho Mtaikumbuka hii Post, Yanga wanacheza kwa game planning hat Mtu asiyejua mpira anaona kabsa hawa watu kuna kitu Wanatengeneza hapa ila sio Hii simba yani ujinga mtupu PUMBAVU ZAO.
Yanga ndo hana huo uwezo wa kufika hta group stage club bingwa japo wapo na wana kikosi kizuri tu. Huko shirikisho wakikaza sio tu watafika fainali ila hta kombe anaweza kulibeba
 
Nyie mashabiki maandazi mnaojifanya eti mpira butua butua kw stage hii mlitaka mpira mlaini mle??watu wamekuja na tactics zao na mwalimu amefanikiwa...mlitaka tuoge mabao na inawauma sana haijatokea..
Yani mi uto mingine roho zinawauma mission yao not accomplish..misheni ya Simba kuchakazwa na kipigo.....
 
Mi ni shabiki wa Simba ila niseme tu ukweli laiti kama Yanga wangejikaza wakaingia Hili kombe la Champions League wangeweza hat Kufika Semi final au hat Fainal kabs Na hii ni kwasabb timu nyng bora za Africa sasaiv zimeshuka sana kiwango zimebaki znabebwa na Rekodi za makaratasi tu ila uwanjani ni wa kawaida sana,

Kam ukiangalia hii Wydad alf mtu akakwambia et Ndo bingwa wa mwaka jana inawez ikakufikirisha sana,

Naludia tena kusema Yanga wana Mpira mzuri kulinganisha na huu mpira tunaoucheza Simba, simba tuna Mpira wa mwaka 1978 huko yani mpira wa Butua butua na Mpira wa sifa za kijinga vivid example Chama,

Mashabiki wa Simba humu tunatiana moyo kwamb eti tumetoka kiume ila ukweli tu tuseme hii Simba wana mpira mbovu mno Wachezaji wake ukiwaangalia Ni kama Wastaafu kumbe ndo First eleven hiyo,

Yani mtu akifungia Tv akaangalia Mpira wa Simba anawez hisi labda simba wanacheza Mechi ya kuchangia Damu kumbe ni mechi ya Robo fainali kabsa, mi nlkuw naangalia mpk nmekerwa kila muda mijitu inabutua tu hakuna Game planning kabs,

Yani mtu akiona tu Mbele kuna jezi nyekundu bas anabutua limpira huko huko huyo wa mbele apambane,.... Kiukweli hii Simba ifanye investment kama Yanga la sivyo Yanga itawashangaza watu siku za usoni,

Mimi ni Shabiki wa Simba ila Naiona Yanga Inafika Fainali ya kombe la Shirikisho Mtaikumbuka hii Post, Yanga wanacheza kwa game planning hat Mtu asiyejua mpira anaona kabsa hawa watu kuna kitu Wanatengeneza hapa ila sio Hii simba yani ujinga mtupu PUMBAVU ZAO.
Si walidurushwaa na al hilal hawa yangaa? Au wee mwenzetu huna taarifaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vitu vingine unasoma na kuishia kuchekaa tyuuh, lol
 
Simba wametolewa that's it nachukia sana excuses hakuna kufa kiume wala kiuwanawake Semi final kaingia wydad na sio simba so Sunday ni siku muhimu sana ya Taifa hili la Tanzania [emoji1241]
Wewe si ulitoka kwenye hatua za awali kabisa, shida inaanza pale mnapojaribu ku-equate CAFCL na CAFCC ili kutafuta faraja na matundu ya kuropokea.

It's Simba Sc katoka hakuna aliyekataa, ila swala la kutaka kuwaanisha watu kuwa mechi ya Simba sc itakuwa na uzito sawa na ule wa Yanga dhidi ya Rivers jpili, ni sawa na kulazimisha mnduku wako utafune muwa wakati sio kazi uliombiwa.
 
Timu ya Uholanzi unataka kuniambia huwa haijifunzi? Inacheza world cup karibu kila ikifika ila kombe haichukui na imecheza 3 finals

Juventus katika ubora wao wamecheza fainali kadhaa za UEFA lakini bado hawajachukua UEFA unadhani Juve hawajifunzi?

At the end bahati sometimes ipo katika mafanikio

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Man city mara 3 mfululizo kacheza Robo, Semi, na final na hajachukua kombe la UEFA,
Labda mwakaa huu at least matumaini yapoo.
 
Mi ni shabiki wa Simba ila niseme tu ukweli laiti kama Yanga wangejikaza wakaingia Hili kombe la Champions League wangeweza hat Kufika Semi final au hat Fainal kabs Na hii ni kwasabb timu nyng bora za Africa sasaiv zimeshuka sana kiwango zimebaki znabebwa na Rekodi za makaratasi tu ila uwanjani ni wa kawaida sana,

Kam ukiangalia hii Wydad alf mtu akakwambia et Ndo bingwa wa mwaka jana inawez ikakufikirisha sana,

Naludia tena kusema Yanga wana Mpira mzuri kulinganisha na huu mpira tunaoucheza Simba, simba tuna Mpira wa mwaka 1978 huko yani mpira wa Butua butua na Mpira wa sifa za kijinga vivid example Chama,

Mashabiki wa Simba humu tunatiana moyo kwamb eti tumetoka kiume ila ukweli tu tuseme hii Simba wana mpira mbovu mno Wachezaji wake ukiwaangalia Ni kama Wastaafu kumbe ndo First eleven hiyo,

Yani mtu akifungia Tv akaangalia Mpira wa Simba anawez hisi labda simba wanacheza Mechi ya kuchangia Damu kumbe ni mechi ya Robo fainali kabsa, mi nlkuw naangalia mpk nmekerwa kila muda mijitu inabutua tu hakuna Game planning kabs,

Yani mtu akiona tu Mbele kuna jezi nyekundu bas anabutua limpira huko huko huyo wa mbele apambane,.... Kiukweli hii Simba ifanye investment kama Yanga la sivyo Yanga itawashangaza watu siku za usoni,

Mimi ni Shabiki wa Simba ila Naiona Yanga Inafika Fainali ya kombe la Shirikisho Mtaikumbuka hii Post, Yanga wanacheza kwa game planning hat Mtu asiyejua mpira anaona kabsa hawa watu kuna kitu Wanatengeneza hapa ila sio Hii simba yani ujinga mtupu PUMBAVU ZAO.

Yanga bado .... hajakutana na viunzi, kumbuka alitolewa na Alhilal..... pia path ya Yanga imekuwa so simple , angepangiwa waarabu wa Misri usingesema haya . Rivers hata hela ya kulala hotelini ni shida .... Jpili anajipigia tu

ILA NAKUBALI kuwa kwa sasa timu nyingi Africa kiwango kimeshuka.... kwa mpira ule wa Wydad ni dhahiri ingekutana na timu yenye pace wangetoka.

Nakiri kuwa Simba ina wastaafu sana ,na game za kimataifa ni speed na nguvu:...hakuna cha kutoka kiume..... ni poor investment na plans
Imagine five years inacheza mechi za kimataifa, yet hata mwaka mmoja kwenda nusu hakuna...,, hii ni ishara ya mbaya kwa simba fans
 
Yanga bado .... hajakutana na viunzi, kumbuka alitolewa na Alhilal..... pia path ya Yanga imekuwa so simple , angepangiwa waarabu wa Misri usingesema haya . Rivers hata hela ya kulala hotelini ni shida .... Jpili anajipigia tu

ILA NAKUBALI kuwa kwa sasa timu nyingi Africa kiwango kimeshuka.... kwa mpira ule wa Wydad ni dhahiri ingekutana na timu yenye pace wangetoka.

Nakiri kuwa Simba ina wastaafu sana ,na game za kimataifa ni speed na nguvu:...hakuna cha kutoka kiume..... ni poor investment na plans
Imagine five years inacheza mechi za kimataifa, yet hata mwaka mmoja kwenda nusu hakuna...,, hii ni ishara ya mbaya kwa simba fans
Mashindano yanayohusishaa team tofauti za nje ni tofauti na league ya ndani.

Ukitaka kujua hilo muulize Man city Ndani ya UEFA, atakupa habari.
 
Mwindo tumeumaliza salama., Vita tumeipiga .
Na parapanda imelia, parapanda imelia.
Jobu Junia aka Da Zuu (da Zuwena) mwendo ameumaliza na kombe lake la robo FAINALI amechukua.
[emoji444][emoji445][emoji442][emoji450][emoji447][emoji350][emoji991]
NUSU FAINALI ULIIPENDA lakini penalti za KAPOMBE na MWAMBA WA LUSAKA zilikupenda zaidi.
 
Wewe bado upo kwenye hayo mashindano ambayo Simba Sc katolewa?


Unajua kinachonishangaza ni vile mashabiki mnashindwa kuwa real pale ambapo mnatumia nguvu kubwa kutuaminisha hakuna utofauti wowote kati ya CAFCC na CAFCL, hivi hizi guts mnazitoa wapi?[emoji23]


Mashindano ambayo wewe yalikushinda hatua za asubuhi kabisa, unakuja kumbeza na kumuona hajafanya lolote la maana yule ambaye kafika robo fainali na katoka kwa penalty dhidi ya mtetezi?Yani mimi ndiomaana sihanagika na trolling zenu hapa.




Ama kweli nimeamini,kichwa cha kuku hakifungi kilemba.
Next match Namungo FC
 
Sasa msimu ukiisha ni wakat muafaka tumrudishe onyango kwao akamuone Yesu kama wenzie!
 

Attachments

  • 255658512395_status_608d3238d001442ea8d2dae949c51861.mp4
    787.5 KB
Mimi ni shabiki wa Simba ila Kwa mpira huu walioonyesha Simba bado sana yan naludia tena bado sana.

Mpira gani huu butua butua kila dakka watu hawaweki mpira chini, mara majitu yanagongana Matatu yote kwenye Njia moja mpk unajiuliza sasa huyu Mpumbavu alikuw anafat nn huko kwny namba ya mwenzke,

Ukija kwa Midfielders nd kabsa utumbo yan Mtu kupiga pasi ya nguvu na iliyonyooka ni shughul mpk unajiuliza ivi hawa watu Mazoezin huw wanafundishwa ujinga ama ni nini ?

Cha mwisho kocha tunaye mzuri sana ila Kikosi alichonacho ndo Kibovu pale Simba Viungo, Na Mawinga hakuna kabs hii timu ipangaluliwe tu wabaki kam wachezaj wanne tu.

Simba asije wakjichanganya wakamfukuza kazi huyu kocha maan ni Bonge moja la kocha ana mbinu sana ila Wachezaji ndo hakuna, huyu kocha apewe wachezaji wazuri tu Simba itafika mbali.

Cha mwisho kabsa Huyu kipa Ni mpuuzi. Uzi Tayari
Kipa kalewa sifa za kwny mech za ihefu na yanga lakini uwezo baado Sana baado
 
Ushabiki ni aina ya uchawi mwingine advanced sana..yani mtu mpk jasho linamtoka anataka mtanzania mwenzie adhalilike...huu ni zaidi ya uchawi
Na hatujadhalilika bali Waidadi wataikumbuka hii mechi kwny historia yao...
Game plan was kujilinda na limetimizwa kwa asilimia 90...
 
Simba imepigana sana tena sana,leo tumeona nguvu halisi ya simba,sio rahis kwa umati ule ugenini,wachezaji wenyeji wanagombana uwanjani mashabiki wanapiga dua si watoto,wakubwa wanawake kwa wanaume...hakika kazi imefanyika leo...rudini tupumzike mwezi wa 9 tuuwashe tena
 
Back
Top Bottom