Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Simba imepigana sana tena sana,leo tumeona nguvu halisi ya simba,sio rahis kwa umati ule ugenini,wachezaji wenyeji wanagombana uwanjani mashabiki wanapiga dua si watoto,wakubwa wanawake kwa wanaume...hakika kazi imefanyika leo...rudini tupumzike mwezi wa 9 tuuwashe tena
Mamelod je miaka mitano wameachieve nin?Yanga bado .... hajakutana na viunzi, kumbuka alitolewa na Alhilal..... pia path ya Yanga imekuwa so simple , angepangiwa waarabu wa Misri usingesema haya . Rivers hata hela ya kulala hotelini ni shida .... Jpili anajipigia tu
ILA NAKUBALI kuwa kwa sasa timu nyingi Africa kiwango kimeshuka.... kwa mpira ule wa Wydad ni dhahiri ingekutana na timu yenye pace wangetoka.
Nakiri kuwa Simba ina wastaafu sana ,na game za kimataifa ni speed na nguvu:...hakuna cha kutoka kiume..... ni poor investment na plans
Imagine five years inacheza mechi za kimataifa, yet hata mwaka mmoja kwenda nusu hakuna...,, hii ni ishara ya mbaya kwa simba fans
Hamna penaty hazina mwenyewe hata wachezaji benchi walikuwa wanalengwa na machozi na mashabikiSimba ktk penat hawapo vzr kbs. Yn mm nilivoona tu ni penat nkajua tushatoka
Ndo maana nimekuambia wee furahi tyuuh.Basi hata kombe la mapinduzi limewashinda?[emoji23][emoji23]
Simba mmekufa kiume, msiumie mmejaribu
Au aende UEFA akawaulize Man city watampa majibu, labda mwaka huu Man city anaweza kubeba UEFA.
Umechukulia serious Sana 😂😂😂😂labda hata huyo Swalehe hayupo mzee wanguKutokwenda shule nayo inaweza kuwa zawadi ya kushinda bet? Simjui Swalehe ila sidhani kama shule imo, kutokwenda shule hakuwezi kufanyika incentive, unless uwe unatania hapa.
Fundi maiko mkuu [emoji1787]Huyo fundi ilikuwaje kakuwekea soketi juu kabisa kwenye singibodi
Umechukulia serious Sana 😂😂😂😂labda hata huyo Swalehe hayupo mzee wangu
Upo serious Sana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, kuna kioa dalili Swalehe yupo, lakini hata hivyo niliweka phrase "unless uwe ni utani" labda haujaizingatia tu.