FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Wanasema mambo ya watu wakubwa haya..tuliwaamini Yanga mtatetea hadhu ya Taifa na pia kufanga waarabu wapaogope hapa lakini leo mmecheza kama mpo ugenini
 
Ile mechi ya simba refaa aliongeza Dk kufidia huo upumbavu wao. Kuna jamaaa wakawa wanataka kuwapiga wanasimba na mwikoo😂😂😂
 
Eti nasikia kuna sheria ya best looser yanga anapita makundi🐼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…