min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Jamani Bantu Lady wetu😭Bantu Lady, adriz haya guseni muachie 😂😄
View: https://youtu.be/ImrZ_v9eqDs?si=nvsuWU1jeBoSv0Px
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani Bantu Lady wetu😭Bantu Lady, adriz haya guseni muachie 😂😄
Yeah exactly 💯 mkuuYou should be proud kucheza geoup stage back to back sii mchezo. Ata simba alimbwela hakufanya hivyo mwanzoni.
Next season mjopange robo sasa ila ndio usajili wa maau a sii mmeona wenyewe striker dugi
Ndo mimi asee na kimechelewa kweli. Israel akiamua kukuvisit kifo hakiepukiki hata ukajifiche mtaroniMkuu, sio wewe ulikuwa unataka kilio cha kubaki kichelewe?
Wawaache wachezaji wavute shisha kwanz aiseeWanaenda kuendelea na ligi ya NBC. Wameipania hiyooo
NaiunganIsha tenaNa kweli lazima nifanye hivyo
Si mlikuwa mnatupigia kelele mna mjerumani, usajili wa kimataifa. Ona sasa kilichowakutaUwezo wetu ndipo ulipoishia, niliwaambia mimi hatutovuka hatua hii ya makundi walionitukana wote ni mashahidi tunachokiona hapa.
Until next time, tutarudi imara.
Yanga Daima
😁 kwani kuna habari gani huko vyurani?Zamu yako ikifika utanikoma😃😀
Mwanangu tuvute bangi shisha miyeyusho 😆Gusa,achia tukavute shisha
Tunampeleka alikamwe aghakhan hapa usicheke hata mie nilikuwa nalia hapa😁 kwani kuna habari gani huko vyurani?
Yanga wajilaumu wenyewe, bila kupiga mpira golini, huwezi kupata ushindi, kupigiana pasi na kutawala michezo sio ushindi.Gusa. Achia. Twenda kwao.
Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.
Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.
Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.
Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni
Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
View attachment 3205353
Dakika ya 26 yng 0-0mca
Dakika ya 27 mca wanakosa goli la wazi
Dakika ya 28
Mudathir amefanyiwa madhambi
Dakika ya 33
Yanga SC wanapata kona
Dakika ya 35
Yanga SC wanapata kona
Dakika ya 36
Mudathir anakosa goli la wazi
Dakika ya 37
Mca wanapoteza muda sana hapa uwanjani
Dakika ya 45+4
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
Young Africans SC 0-0 MC Alger
View attachment 3205382
Kipindi cha pili kimeanza
Mabadiliko anatoka musonda anaingia pacome
Dakika ya 48
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 50
Yanga SC wanapata kona
Dakika ya 54
Yng 0-0 mca
Dakika ya 58
Yanga SC wanapata freekick
Dakika ya 60
Mca wanachelewesha sana muda
Dakika ya 63
Kibwana anafanyiwa madhambi
Dakika ya 66
Mca wanakosa goli la wazi
Dakika ya 67
Anatoka mudathir anaingia chama
Dakika ya 68
Yanga SC wanapata freekick
Dakika ya 72
Dube anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 74
Chama anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 80
Yng 0-0 mca
Dakika ya 86
Boka amefanya madhambi hapa
Dakika ya 90+7
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄
Young Africans SC 0-0 MC AlgerView attachment 3205414
Mtanii kwani Viongozi ndio wanacheza, wale mashabiki wenu 'full house' kwani hawakutosha, jipangeni msimu ujao na muache midomo 🤣🤣Tuna Mechi muhimu kama hii alafu Viongozi wa Timu wanaenda kwenye mkutano wa CCM🚮🚮🚮🚮🚮
Siasa na Soka🚮🚮🚮🚮