OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huu wa chini mweupe ni upaja wa kuku au?Huyu Carlinhos anaumwa? Hiki kimguu ndio akutane na mtu kama Zimbwe jr si atakufa huyuView attachment 1764106
Mkuu mbn Una maneno ya kuchoma moyo hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa hata wacheze mpaka muda wa daku hawapati goli
Hivi hawa vyura si watalia sana siku hiyo? Labda waombe tukachezee uwanja wa gwambina.Jezi za Yanga kama wacheza ngoma wa kisukuma