Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekufa kote kuanzia kikosi hadi benchi la ufundi sio eneo la kiungo peke yakeDah! Timu yangu leo imekufa kabisa kwenye eneo la kiungo! Haka Katoto ka Angola kanacheza kibishoo bishoo tu! Hakawezi hata kukaba! Kanategemea kuchukua ujiko kwenye mipira ya adhabu na kona tu.
Kiufupi hatuna kiungo namba 8! Fei Toto sijui yuko wapi! Bora hata wangemuingiza mkongwe Niyonzima. Tukishinda mechi hii basi itakua ni bahati nasibu tu. Hapa kuna sare au kufungwa kagoli kamoja!
Wanatafuta goli wakati yanaonekana halafu kalinyo anapaisha?yanga wanatafutaa goliiiiii,,,, wanapoteza njee dk ya 65
hahahahahahahah goli la kufungaaWanatafuta goli wakati yanaonekana halafu kalinyo anapaisha?
Labda wa marefa..Duuh tunahitaji ushindi leo turudi makazi yetu
nyweleeee zimeotaaDube naye laini sana