Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #241
HahahaThis time na MATOLA Afukuzwe asibaki Simba imetosha Simba sio timu ya Baba yake
Alaumiwe nani hapo?Mugalu kapiga header lakini diara kaunyaka
Mabeki wa Simba wanaokoaYqnga wanapata kona inaenda kupigwa na Djuma Shabani
Timu inacheza hovyo kama Ndondo cupDaaah
Mechi za bongo sahau hii kituLive streaming wapi link
Watapiga bila mipira kuwafikia maeneo sahihi.Timu nzima imekatika ndo maana yanga kamiliki mpira katikati.Una Kibu, Mugalu wategemea upate shot kweli
Pablo amerithi tu huu mfupa.Na bado watu wataona tatizo ni kocha
Kwani aliyempanga ni naniYaani kiungo cha Mzamiru kikupe matokeo mbele ya akina Babu Kaju?? Tutamuonea bure Pablo