Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Bongo kuna match ngumu? Si tulikubaliana matches ngumu ni za Aly Ahly,Mamelody na Orlando Pirates?Na msimu ujao simba irudie makosa yake kwa kusajili wachezaji wa kuwa kuza badala ya kusajili wachezaji wakali wenye ushindani kwenye mechi ngumu kama hizi
Mudi anaogopa atapokonywa koloni lake.MO angeacha wivu kwa GSM kama AZAM
Kazi aliyoifanya Tadeo hapo kati hujaiona?.Taddeo akibakizwa msimu ujao basi mganga wake fundi
Ndiyo mremboKumbe!!!
Tadeo Kwanga? Au Ushapagawa Tayari [emoji1787]Tadeo kwanga kachezewa foul
Kazi ipi? Ya kucheza faulo za wazi na kuachwa na refa? Mchezaji kama Tadeo kama unataka kufika mbali michuano ya Afrika HAFAIKazi aliyoifanya Tadeo hapo kati hujaiona?.
Mie hapa tayari naanza tafuta mbususu ya kuenjoy nayo maana hapa ushindi uhakika kabisaaView attachment 2242337
Mwanayanga kosa asubiri mechi iishe yeye kaanza sherehe kipindi cha kwanza