ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mshaliwa nyinyiNguvu Moja nimeamkia Kirumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaliwa nyinyiNguvu Moja nimeamkia Kirumba
Kwa hiyo Sacko na Kibu mnawakuza?Na msimu ujao simba irudie makosa yake kwa kusajili wachezaji wa kuwa kuza badala ya kusajili wachezaji wakali wenye ushindani kwenye mechi ngumu kama hizi
[emoji848]Sometimes you gotta say fùck football and chilling getto listening to Hip Hop
MO kwa sehemu kubwa amekuwa anaingilia usajili, kwa sasa kawa pembeni mnaona kinachotokea, Try Again ataondoka na MO atarudi tena na Simba itaendelea shinda.Aliyesajili hiki kikosi cha Simba ya msimu huu atalipa tu hii dhambi. Anasababisha bia hazinasi kabisa.
kama sio kazi aliyoipiga hapo kukabiliana na viungo kamilifu wa yanga simba angeshakula goli zakutosha hadi sasa.Ata uko Afrika unakosema itategemea uko na kikosi gani na presha ya mchezo ikoje.Hiyo namba sio yakuchukulia kirahis rahisi kwavile tu unaona timu iko uwanjani.Kazi ipi? Ya kucheza faulo za wazi na kuachwa na refa? Mchezaji kama Tadeo kama unataka kufika mbali michuano ya Afrika HAFAI
Inabidi MO arudi kusaidia timu, Try Again kashindwaSimba hakuna timu…
Yanga ndio muda wenu huu
Sijui Mwanuke, Kibu, Mwenda , Mhilu wote hawa hovyo ukiongeza na u hovyo wa waliokuwepo akina Mugalu, Boko , Kagere inakuwa hovyo zaidi.Usajili uliopita Simba tulipigwa
Tuliwaambia kuwa mkishatolewa Robo fainali ndio mtajua ubovu wa timu yenu pamoja na maumivu ya kukosa Ubingwa.This time na MATOLA Afukuzwe asibaki Simba imetosha Simba sio timu ya Baba yake
Tatizo Fiston Mayele naye miguu inatetemeka sana! Muda huu tungekuwa mbele kwa goli 2 kwa 0!Leo ni siku nzuri kwa Yanga kuzilipa zile goli 5:0 za enzi ya kina Okwi
Tunachelewa kuchange game plan, viungo wengi wa Yanga wametudhibiti. Yanga wamejaza viungo na double triker huku sisi tukiwa na viungo watatu tu. Tunachelewa kubadili mbinu kwa wakati.Mzee hakuna lawama
Majeruhi kibao
Sakho, Banda, Mugalu, Kibu, Chama, Bocco, Kagere hawana msaada wala umuhimu kwa timuSijui Mwanuke, Kibu, Mwenda , Mhilu wote hawa hovyo ukiongeza na u hovyo wa waliokuwepo akina Mugalu, Boko , Kagere inakuwa hovyo zaidi.
Muite Dr. Mwamedi bhana! Siku hizi haitwi tena kwa jina lake. Ni dokta wa Georgetown huyo.Mwamedi atuachie timu yetu
Kuna watu wakitazama mpira wao wanachotaka kuona ni magoli tu hawaangalii kikosi kikoje na uwezo wa mpinzani ukoje.Simba leo iko vibaya ukilinganisha na kikosi cha yanga.Hadi sasa simba kajitahidi sana.Mzee hakuna lawama
Majeruhi kibao
Mchezaji wako katolewa hana kitu cha maana alichochezakama sio kazi aliyoipiga hapo kukabiliana na viungo kamilifu wa yanga simba angeshakula goli zakutosha hadi sasa.Ata uko Afrika unakosema itategemea uko na kikosi gani na presha ya mchezo ikoje.Hiyo namba sio yakuchukulia kirahis rahisi kwavile tu unaona timu iko uwanjani.