Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mugalu hamna kitu mbele hatushambulii kabiss hata pasiw hatupigi ushindi hapa sawa na kungoja Trent airport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiipata ipige ksawasawa huku unaivutia hisia ya SCAR na usiniangushe kwenye msambwandaMie hapa tayari naanza tafuta mbususu ya kuenjoy nayo maana hapa ushindi uhakika kabisaa
Aisee[emoji24]Ndiyo mrembo
Kwa mawazo kama haya ndio maana waamuzi wetu hawachaguliwi kuchezesha njeHadi sasa refa kachezesha vizuri.Hii mechi ni kubwa usifikiri ni rahisi kudhibiti presha ya mechi kubwa kama hii.kipindi cha kwanza nampa 7/10.
Kule mbele hatupo kabis hta mpira ukigonga ukarudi hatuwezi kumalizia Kama wenzetuSimba tunaposhambulia kwenye box tunakuwa wachache sana
Mpira bado haujaisha dogo kaa kimya[emoji35][emoji35][emoji35]Aise naona hapa kama tayari tulishawapakata hawa simba.....maana hawaelewani kabisa huku mbele sio kibu sio mugalu.
Leo kocha wa yanga kanipa raha yaani hawa simba nikushambulia upande wa half iron half man tuu
Subiri match iishe ukamulie chumbani kwa BarbaraHakuna mwenye bunduki au Bom??? Nataka nikamuue Mugalu
Wee njoo leo nikupakate mrembo huku nakupa de libolo upoze machungu ya kufungwa🤣🤣🤣🤣Moira bado haujaisha dogo kaa kimya[emoji35][emoji35][emoji35]
Labda ushinde njaa,msimu huu Yanga akikutangulia kipindi cha kwanza ujue ndio ushakufa tayari. Match zote alizishinda Yanga msimu huu matokeo aliyapata first half.Pale rudisha Mzamiru kiungo then Larry Bwalya aingie toa Lwanga. Hakuna sub nyingine unaweza kufanya labda Kagere kidogo. Hii timu hata tukishinda leo wapo wa kubebeshwa lawama.
SwadaktaKAMA MAKOLO NDO WAMACHEZA HIVI ....... KIMATAIFA NA WANATOBOA......BASI YANGA LAZIMA WAWE MABINGWA WA CAF msimu ujao
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]naomba uniache.Wee njoo leo nikupakate mrembo huku nakupa de libolo upoze machungu ya kufungwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe jamaa hujui mpira kumbe.katoka kwasababu kocha kabadilisha uchezaji.Mchezaji wako katolewa hana kitu cha maana alichocheza