FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

Makolo wajinga kweli kweli, yaani mlitegemea kabisa kibu denis na mzamiru waifunge yanga??
Kwa mtazamo wako ukiwa na utulivu kabisa, unadhani Kibu Denis ni mchechaji mbaya?
 
Ila tulisema tangu awali! Simba haina bahati kwenye huu uwanja wa Kirumba. Na ndicho kilichotokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…