FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Kwa mahesabu ya haraka yanga amecheza mechi mbili za fainali ya Caf confederations na Bingwa wa caf confederations cup na caf super cup na kuwa droo na simba amecheza robo ya caf champions league yupi amezidi kimafanikio ??
Na Takwimu za caf 2022-2023 yanga yupo Kwenye top 5 simba hayupo .
Wewe na caf Nani yupo sahihi ??
 
Goli la Pacome ni la dunia. Ni la kipekee sana Hadi CAF wameamua kuwapa pointi 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…