mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kolo kanywe Mo Extra umtajirishe KanjiMbona UZI HAUTEMBEI.
Wana jangwani wenzangu mpo wapi?
Tusijipe unyonge.
Kufungwa ni kawaida tu.hii timu yetu.
Hata tukifungwa leo POA TU
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mpira wa kutengwaGoli la kusawazisha ni mpira wa kute
TupoMbona UZI HAUTEMBEI.
Wana jangwani wenzangu mpo wapi?
Tusijipe unyonge.
Kufungwa ni kawaida tu.hii timu yetu.
Hata tukifungwa leo POA TU
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mechi ya Yanga inachezwa saa Moja usiku Mwanzo ilikuwa ichezwe saa 4 usku ila ratiba ikabadilika Kwahyo itachezwa saa 1 usikuNavuta muda hapa nielekee uwanjani. Hivi mechi ni saa ngapi jamani? Redioni wanasema saa 10, Yanga na Google wanasema saa 1!
Nisaidieni nipate uhakika nijue natoka home saa ngapi!
πππ
Leo mida ya saa 1:00 jioni inatarajiwa kuchezwa mechi ya pili ya kundi D ikiwakutanisha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania (Yanga) dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Afrika kutokea Misri (Al Ahly). Mechi inachezwa katika Uwanja wa Mkapa uliopo Dar es Salaam Tanzania.
Unafikiri nani ataibuka mshindi katika mechi hii?
Kaa nami katika uzi huu, nitakuletea matukio na matokeo yatakayokuwa yakijiri katika mchezo huu
We zombie,na SIMBA WA MASIMBA DANGOTE.leo twafaaaaaa.Kolo kanywe Mo Extra umtajirishe Kanji
Madiema jana imewaua nguvu kabisa za kushangilia maana kifuatacho mmeshakijua..Mbona UZI HAUTEMBEI.
Wana jangwani wenzangu mpo wapi?
Tusijipe unyonge.
Kufungwa ni kawaida tu.hii timu yetu.
Hata tukifungwa leo POA TU
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app