Jaman kikosi Cha yanga tunaomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman kikosi Cha yanga tunaomba
Kikosi cha lawama
Kikosi cha kazi hiki. Sina deni na mwalimu hata itokee tukafungwa. Naamini baadaye ndiyo Mudathir na Musonda ndiyo wataingia kuongeza nguvu.
Huyu jamaa pichani ukimcheki usoni kiumri tu utaona kamzidi SaidoKikosi cha wataniView attachment 2831575
Amekuwa mtani wako tenaKikosi cha wataniView attachment 2831575
FamiliaAmekuwa mtani wako tena
AaahaaaaTuweke uzalendo mbele, kwa kweli Itapendeza sana Yanga wakishinda njaa.
Familia
Utapigwa tuu gongowaziKila la heri Yanga. Ushindi ni lazima. Maana wenzake kwenye kundi lake mpaka sasa wametumia vizuri home advantage. Hivyo na yeye hana nna nyingine, isipokuwa kushinda kwa goli nyingi.
Kufungwa au kutoa sare kutatufanya kuendelea kuburuza mkia. Na hii itawafanya mbumbumbu watusimange mpaka basi. Ingawa na wenyewe hali si hali.
Wanga wakubwa...Sijui sana kiufundi nani yuko bora kwa sasa, lakini hii mechi imeshamalizwa na wazee.
Anayeombea Yanga ifungwe leo nampa tahadhari mapema ajiandae na pain killer za kumeza.
Mtakachokiona leo wengi hamtoamini macho yenu.
I have said it.
[emoji2956]Mpigwe mchakae...