Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Wahuni hawawezi kupata nafasi ya kucheza na bingwa mtetezi wa Cacl.Yanga ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye kivuli cha mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni hawawezi kupata nafasi ya kucheza na bingwa mtetezi wa Cacl.Yanga ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye kivuli cha mpira
HakikaYanga ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye kivuli cha mpira
Afu Simba ni kikoba cha kausha damuYanga ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye kivuli cha mpira
Sasa ile Jwaneng Galaxy nayo ni ya kuja kabisa kujisifia hapa jukwaani, baada ya kutoa nao sare!! KweliHahahaaaa mnajipa moyo sana...
Ww sio ulosema Galaxy watatupelekea moto?
Nashangaa kwa nini hawajafunga hadi sasa 😂 😂Haya ni maneno ya kujifariji tu. Fungeni magoli. Acheni porojo.
Sijui wamefikaje huko hao wahuniWahuni hawawezi kupata nafasi ya kucheza na bingwa mtetezi wa Cacl.
WakikutanaHawa waarabu mbona mechi na simba hawakucheza hivi jmn
na wakubwa wenzaoHawa waarabu mbona mechi na simba hawakucheza hivi jmn
Tulia dawa ikuingieAfu Simba ni kikoba cha kausha damu
Ndo umeanza kumuona leo ?Ila huyu Hussein El Shehat, Ahly walipigwa. Labda kama haya mabilioni tunayoambiwa alinunuliwa yawe kwa currency ya Zimbabwe
Nimetoa mfafano tu wa mshambuliaji anayehitajika Yanga kwa sasa. Wala sijasema Yanga tunamhitaji Mayele.Mayele. Amesema ameshamalizana na nyie..
Teh teh 😃😃 wabongo bhana...Ila huyu Hussein El Shehat, Ahly walipigwa. Labda kama haya mabilioni tunayoambiwa alinunuliwa yawe kwa currency ya Zimbabwe
Hata sisi tumemalizana nayeMayele. Amesema ameshamalizana na nyie..
Magoli yanatafutwa. Siyo mchezo wa rede huu.Haya ni maneno ya kujifariji tu. Fungeni magoli. Acheni porojo.
Namfuatilia mda mrefu ila sijawahi kuona hayo mabilioni yako wapi kwenye kiwango chakeNdo umeanza kumuona leo ?