cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wydad tutampigaaa atake asitakee [emoji23][emoji23][emoji23]Mechi ijayo my wangu unaenda kupigwa na waydad unakuwa wa mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wydad tutampigaaa atake asitakee [emoji23][emoji23][emoji23]Mechi ijayo my wangu unaenda kupigwa na waydad unakuwa wa mwisho
Job namsubiri pale wasafi keshoAl ahly yupo unga sana msimu huu- walisikika walevi fulani baada ya ahly kutoa draw ya magoli 2-2. Wakaenda mbali zaidi wakisema kuwa watamfunga home and away [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣Na yeye anakupigia wewe hesabuWydad tutampigaaa atake asitakee [emoji23][emoji23][emoji23]
Taarifa za asec mimosas unazoAl ahly ni mbovu akicheza na mwenzako cheza nae wewe sasa chupu chupu na msuli juu lakini wapi wacha tushangilie sare..
Pole sana Tatu Malogo SC fan, miaka hii ya 2021-2023 na ------ Yanga itaendelea kukukera sana tu maana haipitishi michango kwenye bakuli [emoji28]Mlimsaji wewe nanani,? Huna hizo pesa za kumsajili hata nyau wa kwenu
Mwambieni Ali Kamwe hivii; Vikao vya usiku havikwepeki!Tp Mazembe ni giant wa afrika , Hata usm algers umeona alichofanya , club Africain ni Bingwa wa zamani wa caf cl
Marumo alishuka daraja lakini league ya afrika kusini ni ngumu sana sababu ya uwekezaji kwahiyo kila timu sio kibonde kama nchi nyingine na gap ya point Kati ya timu na timu wakati mungine ni ndogo na msimu uliopita aliwazidi kaizer na Orlando .
Kwanini caf waiweke yanga top 5 wasiweke raja .
Rank hawaangalii majina makubwa au historia wanaangalia current performance .
🤣🤣Wametuheshimisha
Aaahaaa
Kumbe sare yako ni ya heshimaAaahaaa
AaahaaKumbe sare yako ni ya heshima
Hebu tuone wiki ijayo, maana kama sio mpira kugonga nguzo Simba tungeshindaAaahaa
Hii point moja ni booster kwa Yanga
Ingeisha tumekandwa 1 ingetudemoralize
Tungekosa kujiamini
Lile goli la Pacome dah
Hizo taarifa za asec tafadhali kaa nazo tu mzee wangu, usije kutuamshia pressure na sukari zetu.Taarifa za asec mimosas unazo
Mmeanza kujipataHebu tuone wiki ijayo, maana kama sio mpira kugonga nguzo Simba tungeshinda
AaahaaaaHizo taarifa za asec tafadhali kaa nazo tu mzee wangu, usije kutuamshia pressure na sukari zetu.
sasa Wivu wa Draw kaka wa Nini ...🤣🤣🤣..Wivu unakusumbua
Mkuu leo umeweka ushabiki pembeni umeongea Ukweli..Mmeanza kujipata
Gemu ya leo ilikuwa poa sana
Ubaya Wydad mnacheza naye nje ndani
Muombe wabakie na kocha huyu huyu ili mkawafunge kwa Mkapa na mkadroo kwao
Mkipata 3 hapa bongo na droo kwao itakuwa poa
Galaxy akija hapa mtaamua wenyewe mchinje au mnyonge
Kusuasua kwa uto bila shaka yoyote chanzo ni kolowizadi.
Inawezekani vipi timu iliyokuwa inafunga timu yoyote bao 5-0, leo inashangilia kutoka sare ya 1-1. , kuburuza mkia?