Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ubaya ubwela dadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana ilikuwa sendoff, leo harusiSisi majogoo nyie mitetea.
Na kazi yetu ni kuwapanda tu 🤣🤣🤣
Bora wangecheza Yanga princessNi game kati ya viongozi wa ngazi za juu wa Young Africans dhidi ya wasanii mbalimbali wa nchini kwetu
Ngoja tuone japo muda hauruhusuBora wangecheza Yanga princess
0764700222, 0784108000 or 022 550 8080.Mwenye namba ya Azam tv huduma kwa wateja naomba msaada
Leo boring to be honest. No vibes.Jana ilikuwa sendoff, leo harusi
Tulia mechi kwanza mziki baadaeLeo boring to be honest. No vibes.
Jana crown DJs waliuwa.
Mkuu usithubutu kufanya malipo Leo utakoma jana nilipata tabu sana nimepiga no zote za kwao msaada wananipa baada ya nusu saaMwenye namba ya Azam tv huduma kwa wateja naomba msaada
😁😂😂 Hivi hatuna timu ya wanawake ?Tulia mechi kwanza mziki baadae
Wasanii tu bado hawajaimba
Huyu dj wa yanga dah! Anaua vibe. Anyway ngoja nione itakuaje as the time goes by.Leo boring to be honest. No vibes.
Jana crown DJs waliuwa.
Mzee wa komedi huyu😁😁Mboto ndiye kocha wa timu ya wasanii
Fungulia mbwa lazima ili na wao waweze ku “claim full house”😀saa nane hii uwanjani akuna watu,mashabiki wa Uto wanasubiri fungulia mbwa.😀