FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Yanga ni tawi la CCM.

Simba walau jana walijitahidi.

Ila Yanga wasengerema
Simba isingekuwa tawi la CCM msingemchukuwa Waziri wa mambo ya Ndani Mh. Masauni kuwa Mgeni Rasmi

Na Mashabiki na Viongozi wa Simba ndio waliomsifia sana Mama Samia jana ambaye ni Mwenyekiti wa CCM TAIFA
 
Museveni na VP wana vinasaba vinavyofanana.

Nazungumzia makoti jamani.
 
Da yanga hawajapangilia mambo yao sasa katikati ya utambulisho wanaleta siasa
 
sgr oyeeeee. Kijani oyeeee, njano oyeeeeee.
 
Back
Top Bottom