Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ni mwananchi tangu akiwa Waziri wa Miamala alishaweka waziHivi kumbe VP na Yeye ni Uto?
au Unafiki wa Kisiasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwananchi tangu akiwa Waziri wa Miamala alishaweka waziHivi kumbe VP na Yeye ni Uto?
au Unafiki wa Kisiasa?
Its take back out Football developmentIt's politics time
Simba isingekuwa tawi la CCM msingemchukuwa Waziri wa mambo ya Ndani Mh. Masauni kuwa Mgeni RasmiYanga ni tawi la CCM.
Simba walau jana walijitahidi.
Ila Yanga wasengerema
Sio anapiga simuRasi Samia yupo njiani anakuja
Inasikitisha sana. Wastage of timeIts take back out Football development
Bora umelisema wewe...Utoto mwingi🚮
Mbona ameside moja kwa moja.Museveni na VP wana vinasaba vinavyofanana.
Nazungumzia makoti jamani.
Wewe acha tu! Nimeeka zangu tamthilia😂Bora umelisema wewe...
Ningesema mimi ungeanza😂😂